Vida1 JF-Expert Member Joined Jul 6, 2019 Posts 538 Reaction score 1,539 Nov 30, 2019 #21 Mwakinyo hajafikia kiwango Cha kukusanya Dar nzima ijaze uwanja wakati uwezo wake ni sawa na amateurs. Kapigiwa promo kubwa tu.
Mwakinyo hajafikia kiwango Cha kukusanya Dar nzima ijaze uwanja wakati uwezo wake ni sawa na amateurs. Kapigiwa promo kubwa tu.
Mr Kaptenovela JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 621 Reaction score 618 Nov 30, 2019 #22 Hance Mtanashati said: Ukitaka kuamini zaidi, jana Azam walikuwa wanaonyesha highlights za Mwakinyo tu za mfilipino walikuwa hawazionyeshi kabisa. Click to expand... Azam 2 wamerudia pambano lote mchana huu
Hance Mtanashati said: Ukitaka kuamini zaidi, jana Azam walikuwa wanaonyesha highlights za Mwakinyo tu za mfilipino walikuwa hawazionyeshi kabisa. Click to expand... Azam 2 wamerudia pambano lote mchana huu
Hance Mtanashati JF-Expert Member Joined Sep 7, 2016 Posts 20,137 Reaction score 26,189 Nov 30, 2019 #23 Khaligraph Jordan said: Umeeleweka J Msangi Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaligraph Jordan said: Umeeleweka J Msangi Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]