HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,567
- Thread starter
-
- #21
Ahsane sana ndugu HP,
Ujumbe wako mzuri sana....Ila kwenye hilo eneo, napata shida kwani nchi yenyewe tunayotakiwa kuwa na uzalendo nayo ni kama imeshauzwa......Sasa kama ni hivyo, tunaanzia wapi??
Mubarikiwe sana,...pamoja na Bishanga Bashaija wetu!!
Babu DC!!
haswa,umejuaje?
Mkuu mi jukwaa la siasa naliogopa kama sindano na mwanangu Koku!Eti.........
Turudi kwenye mada basi mkuu....Wewe una uzalendo kwa nchi hii ya bwana JK na mtandao wao??
ahsante Kipipi nitamfikia salam maana saa hizi kalala maana baada ya kupost uzi alirudi kwenye blanket,si unaona kamvua?
hahahahaaaa Kipipi sweetie,naomba tuka cheat x mass!
Mkuu mi jukwaa la siasa naliogopa kama sindano na mwanangu Koku!
wanchekesha (source FF).Hahahaa Bishanga bana!! Unadhani sikufahamu?? Wanchekesha.....
Aisifuye mvua.......Hebu malizia jirani yangu....!!
Kabla ya kwenda huko,ule mshipa wa hasira lazima uwe umeuacha Muhimbili,KCMC au Bugando,yaani umefanyiwa upasuaji!
wanchekesha (source FF).
Kipipi nakuahidi mbele ya hadhara hii tukufu na mbele ya Babu DC na Pakajimmy,kwamba come 2012 nitareform,nakuahidi kwa dhati kabisa kuwa mahawara wangu wote nitawapiga chini ,nakuahidi kabisa kwa moyo mweupe kwamba nakwenda sasa hivi international motor mart kukuwekea order ya brand new Rav4,na ninahaidi sita kucheat.
baada ya kusema hayo napiga goti na kukuomba ki date cha x mass,twenzetu mombasa north beach,diani?
Shikamoo!!
mkuu HP amkaaaaaa,kuna watu hapa wakiongozwa na Madam Kipipi wanachakachua uzi wako,njoo uwakemee!
Nalog off (source:washawasha).
mkuu HP amkaaaaaa,kuna watu hapa wakiongozwa na Madam Kipipi wanachakachua uzi wako,njoo uwakemee!
Nalog off (source:washawasha).
Aiseee, watu hawa sijui niwaandikie waraka wa aina gani! hata saa moja haijapita baada ya kuwaandikia barua hii wamesahau na kuanza kupanga inf .... Jamani, sijui wana mioyo ya aina gani!
Labda tumshirikishe Mama Mchungaji wa JF awafanyie maombi maalum!
Miss Judith, yupo kweli? Kuna wana MMU wanahitaji spiritual healing ya mioyo yao!