Nimejisikia tu kuandika hivi leo

Nimejisikia tu kuandika hivi leo

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Mmetoka wote chuo, halafu unataka ukute kijana uliyekuwa unadate naye chuoni awe ana kila kitu kama nyumba, gari na kazi nzuri, mbona wewe huna?
Kwani unataka kuolewa na baba yako? Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu.

Hao ambao mnawaona na material achievement kuna wakati walikuwa hustlers na iliwahitaji muda ku overcome vitu hivi isipokuwa labda kwa baadhi ya family chache sana. Muulize mama yako kama alimkuta baba yako na kila kitu! Don't judge a man by the size of his wallet kama haufahamu ndoto na future yake anatamani aina gani ya maisha.
Kuna wakati gari unayoona ni new model leo baada ya miaka miwili inakuwa old model, na wewe uli fall in love kwa new model. Nyanyua antena ya Tafakari, ndio maana imeandikwa na wala msiudharau ule mwanzo mdogo.

Be humble, unyenyekevu sio utumwa, you can start from one bedroom halafu after sometimes mkawa Land Lords to many. Halafu kumbukeni hata mama yako alikuwa demu. Mkiwa serious mtasaidia kupunguza hata chawa mitaani, maana you will only fall in love with character and not power and money.
 
Mmetoka wote chuo, halafu unataka ukute kijana uliyekuwa unadate naye chuoni awe ana kila kitu kama nyumba, gari na kazi nzuri, mbona wewe huna?
Kwani unataka kuolewa na baba yako? Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu.

Hao ambao mnawaona na material achievement kuna wakati walikuwa hustlers na iliwahitaji muda ku overcome vitu hivi isipokuwa labda kwa baadhi ya family chache sana. Muulize mama yako kama alimkuta baba yako na kila kitu! Don't judge a man by the size of his wallet kama haufahamu ndoto na future yake anatamani aina gani ya maisha.
Kuna wakati gari unayoona ni new model leo baada ya miaka miwili inakuwa old model, na wewe uli fall in love kwa new model. Nyanyua antena ya Tafakari, ndio maana imeandikwa na wala msiudharau ule mwanzo mdogo.

Be humble, unyenyekevu sio utumwa, you can start from one bedroom halafu after sometimes mkawa Land Lords to many. Halafu kumbukeni hata mama yako alikuwa demu. Mkiwa serious mtasaidia kupunguza hata chawa mitaani, maana you will only fall in love with character and not power and money.
Mkiwa serious mtasaidia kupunguza hata chawa mitaani, maana you will only fall in love with character and not power and money.💪🏿
 
Mmetoka wote chuo, halafu unataka ukute kijana uliyekuwa unadate naye chuoni awe ana kila kitu kama nyumba, gari na kazi nzuri, mbona wewe huna?
Kwani unataka kuolewa na baba yako? Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu.

Hao ambao mnawaona na material achievement kuna wakati walikuwa hustlers na iliwahitaji muda ku overcome vitu hivi isipokuwa labda kwa baadhi ya family chache sana. Muulize mama yako kama alimkuta baba yako na kila kitu! Don't judge a man by the size of his wallet kama haufahamu ndoto na future yake anatamani aina gani ya maisha.
Kuna wakati gari unayoona ni new model leo baada ya miaka miwili inakuwa old model, na wewe uli fall in love kwa new model. Nyanyua antena ya Tafakari, ndio maana imeandikwa na wala msiudharau ule mwanzo mdogo.

Be humble, unyenyekevu sio utumwa, you can start from one bedroom halafu after sometimes mkawa Land Lords to many. Halafu kumbukeni hata mama yako alikuwa demu. Mkiwa serious mtasaidia kupunguza hata chawa mitaani, maana you will only fall in love with character and not power and money.
Pima suruali kadri ya kitambaa ulichonacho na siyo kadri ya mwili wako. Achana na demu sijui mchumba uliyekuwa naye shule/ chuo kwa kuwa siyo saizi yako. Unatafuta sonona tu na utakufa ukingali mdogo.

Tafuta hela, jijenge kiasi ili uwe umetengeneza gap na huyo mke mtarajiwa wako. Hata elimu ukiweza pia mzidi ili uje kuwa na cheo kikubwa na kipato kikubwa kumzidi. Vinginevyo unaishi na stress milele
 
Wewe una iamini condom kwa asilimia ngapi ?

Na vipi ushawahi kusoma kidogo kuhusu Human papillomavirus ?
 
Mmetoka wote chuo, halafu unataka ukute kijana uliyekuwa unadate naye chuoni awe ana kila kitu kama nyumba, gari na kazi nzuri, mbona wewe huna?
Kwani unataka kuolewa na baba yako? Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu.

Hao ambao mnawaona na material achievement kuna wakati walikuwa hustlers na iliwahitaji muda ku overcome vitu hivi isipokuwa labda kwa baadhi ya family chache sana. Muulize mama yako kama alimkuta baba yako na kila kitu! Don't judge a man by the size of his wallet kama haufahamu ndoto na future yake anatamani aina gani ya maisha.
Kuna wakati gari unayoona ni new model leo baada ya miaka miwili inakuwa old model, na wewe uli fall in love kwa new model. Nyanyua antena ya Tafakari, ndio maana imeandikwa na wala msiudharau ule mwanzo mdogo.

Be humble, unyenyekevu sio utumwa, you can start from one bedroom halafu after sometimes mkawa Land Lords to many. Halafu kumbukeni hata mama yako alikuwa demu. Mkiwa serious mtasaidia kupunguza hata chawa mitaani, maana you will only fall in love with character and not power and money.
Usimpangie mtu cha kutaka.

Jipangie wewe unataka nini halafu kitafute.
 
Mmetoka wote chuo, halafu unataka ukute kijana uliyekuwa unadate naye chuoni awe ana kila kitu kama nyumba, gari na kazi nzuri, mbona wewe huna?
Kwani unataka kuolewa na baba yako? Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu.

Hao ambao mnawaona na material achievement kuna wakati walikuwa hustlers na iliwahitaji muda ku overcome vitu hivi isipokuwa labda kwa baadhi ya family chache sana. Muulize mama yako kama alimkuta baba yako na kila kitu! Don't judge a man by the size of his wallet kama haufahamu ndoto na future yake anatamani aina gani ya maisha.
Kuna wakati gari unayoona ni new model leo baada ya miaka miwili inakuwa old model, na wewe uli fall in love kwa new model. Nyanyua antena ya Tafakari, ndio maana imeandikwa na wala msiudharau ule mwanzo mdogo.

Be humble, unyenyekevu sio utumwa, you can start from one bedroom halafu after sometimes mkawa Land Lords to many. Halafu kumbukeni hata mama yako alikuwa demu. Mkiwa serious mtasaidia kupunguza hata chawa mitaani, maana you will only fall in love with character and not power and money.
Umenyoosha sana 🫡🫡
 
Mmetoka wote chuo, halafu unataka ukute kijana uliyekuwa unadate naye chuoni awe ana kila kitu kama nyumba, gari na kazi nzuri, mbona wewe huna?
Kwani unataka kuolewa na baba yako? Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu.

Hao ambao mnawaona na material achievement kuna wakati walikuwa hustlers na iliwahitaji muda ku overcome vitu hivi isipokuwa labda kwa baadhi ya family chache sana. Muulize mama yako kama alimkuta baba yako na kila kitu! Don't judge a man by the size of his wallet kama haufahamu ndoto na future yake anatamani aina gani ya maisha.
Kuna wakati gari unayoona ni new model leo baada ya miaka miwili inakuwa old model, na wewe uli fall in love kwa new model. Nyanyua antena ya Tafakari, ndio maana imeandikwa na wala msiudharau ule mwanzo mdogo.

Be humble, unyenyekevu sio utumwa, you can start from one bedroom halafu after sometimes mkawa Land Lords to many. Halafu kumbukeni hata mama yako alikuwa demu. Mkiwa serious mtasaidia kupunguza hata chawa mitaani, maana you will only fall in love with character and not power and money.
Wanazingua sana, halafu ukianza kufanikiwa utasikia baada ya kufanikiwa tu akamuacha binti wa watu, kumbe wao ndio miyeyusho
 
Expectations over reality

Matarajio dhidi ya ukweli.

Tatizo sio kutamani kupata mume mwenye mafanaikio Ila tatizo lipo pale MTU anapohitaji matokeo mazuri huku akijitenga na mchakato wa kuyapata hayo matokeo

Unahitaji latest car Ila hautaki kufanya Kazi bali kupewa hapo waweza kuumia ,kuumiza na kuumizwa.

I agree with you %
 
Back
Top Bottom