Nimejiuliza hili swali na Naombeni Msaada

Nimejiuliza hili swali na Naombeni Msaada

kukumdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
2,871
Reaction score
2,762
Hivi nani hasa ni mzanzibari halisi!? Maana nimefatilia nimegundua wanaotaka muungano uvunjike ni wale wenye Asili ya uarabuni! Sasa je zanzibar ilikuwa ya waarabu!? Maana historia inasema wafanyabiashara toka Kigoma, Rukwa, Tabora na Uchagani ndo walioivumbua hicho kisiwa na kukaa wakitrade na wahindi kabla wareno kuja na waarabu kuwaondoa. Mimi nafikiri zanzibar ni Mali ya Tanganyika ndomana visiwa vyote vya bahari ya hindi historia yao inatokana na watu kutoka Tanganyika. Sasa kwanini watanzania tukubali kumrudisha mwarabu Atawale kile kisiwa!?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Na ndio maana haitotekea.zanzibar ni sehemu ya tanganyika katika kila namna,kijiografia na aina ya watu wanaokaa eneo hilo,sababu zozote za kuiachia zanzibar iondoke zitatosha kabisa kuivunja sio JYT pekee bali tanganyika pia achilia mbali kwamba hata kwa wapu.mbavu wachache wanaoona upo uwezekano wa hicho kitu kutokea,kilichofanya zanzibar ijirudishe nyumbani haraka mara tu baada ya utawala wa kiarabu kuondoshwa misingi yake imepanuka zaidi sasa.
 
Back
Top Bottom