Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ningependa kuelekezwa jinsi ya kutuma post ya kutafuta mchumba na pia jinsi ya kutumia jamii forum
Hahaha. Yaani umekuja jeiefu kusaka mchumba?
Karibu best, ila kuna mtu anaitwa Paw, akikutumia pm wakati unamjibu unicopy, ili nitakapokukata shingo niwe na ushahidi wangu kwa matumizi ya mahakamani.
Pili kuna mtu anaitwa Mtambuzi ni babangu, na Kaizer ni kakangu, these ar the important men in my life. ukiwagusa tu nna wewe.
Nshaweka alama hapooo!
Ndio new strategy kaka. Naona wifi anakuachia tu. Hivi ukiukwaa ntajidai na nani manake nilivyo mchokozi si ntadundwa hadi nikome?
Karibu jf
Nimeghairi!ningependa kuelekezwa jinsi ya kutuma post ya kutafuta mchumba na pia jinsi ya kutumia jamii forum