Nimejiunga leo

Nimejiunga leo

blackmamba7

Member
Joined
Jul 12, 2020
Posts
29
Reaction score
9
Habar Wana jf
Mimi n mgeni hapa jf,
Nahitaji ukaribisho wenu na guideline miiko ya wakuu humu, jf...

Maelekezo jinsi ya kuchangia hoja kuepuka kuzozana na kubehave pia ni vizur kwa wenye experiences zenu
Asanten
 
Karibu sana, ukiingia pita kushoto mbele kidogo utakuta mlango ingia hapo utakuta sebule, karibu sana lakini lugha safi ndiyo ndiyo zinatakiwa
 
Karibu Mwana,Heshima kwa wote ndiyo msingi wa maelewano.
 
Back
Top Bottom