Nimejiunga leo

Karibu.sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Habar Wana jf
Mimi n mgeni hapa jf,
Nahitaji ukaribisho wenu na guideline miiko ya wakuu humu, jf...

Maelekezo jinsi ya kuchangia hoja kuepuka kuzozana na kubehave pia ni vizur kwa wenye experiences zenu
Asanten
Buku 7 Lumumba FC.
 
Habar Wana jf
Mimi n mgeni hapa jf,
Nahitaji ukaribisho wenu na guideline miiko ya wakuu humu, jf...

Maelekezo jinsi ya kuchangia hoja kuepuka kuzozana na kubehave pia ni vizur kwa wenye experiences zenu
Asanten
Wewe ni ME au KE ili upate ukaribisho unaokustahili kupitia usawa wa kijinsia.
 
Habar Wana jf
Mimi n mgeni hapa jf,
Nahitaji ukaribisho wenu na guideline miiko ya wakuu humu, jf...

Maelekezo jinsi ya kuchangia hoja kuepuka kuzozana na kubehave pia ni vizur kwa wenye experiences zenu
Asanten
Welcome
 
Ndio unajiita black mamba kweli?, we umalizi Siku kadhaa utaanza kula ban kadri mods wanavyoona inafaa
 
Habar Wana jf
Mimi n mgeni hapa jf,
Nahitaji ukaribisho wenu na guideline miiko ya wakuu humu, jf...

Maelekezo jinsi ya kuchangia hoja kuepuka kuzozana na kubehave pia ni vizur kwa wenye experiences zenu
Asanten
Karibu sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…