Nipe sifa zao basi mkuu,maana siwezi nikapenda jina...ili nichague....aisee huu niukaribisho mwema sanaaaKaribu utapata wachumba wakali sio kama kule kwa mark zeb. Chagua 1. Miss chaga 2. Lady A 3. Sky eclat chagua mmoja fasta mkuu nimrushe pm
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Hii ni ID yako ya ngapi?Habari zenu wakuu,
Nimeingia rasmi humu ndani,hope ntapata mengi ya kujifunza.
Mkuu we chagua 1 bana hata kuku sifa wanazo..Nipe sifa zao basi mkuu,maana siwezi nikapenda jina...ili nichague....aisee huu niukaribisho mwema sanaaa
Mara ya kwanza kujiunga inabidi utume picha, tuma picha.Kwanini mkuu??sijawahi kuwa nayo
Kubali kunijibu halafu bonyeza kialama hiko chenye duara jekundu.Picha natumaje mkuu .??
Chukua huyo sasa. Ushindwe wewe tuuSawa mkuu,huyu miss chaga naona c mbaya...
Kubali kunijibu halafu bonyeza kialama hiko chenye duara jekundu.
View attachment 576513
Kitakupeleka sehemu ya kuchagua picha kisha utachagua unayoitaka, utaibonyeza itakuja.
Hata kwenye kompyuta hiko kialama kipo kibonyeze hiko hiko.