Hii picha ya uchi au?
Nakuzingua mzee humu hua hatutumi picha zetu
Usitume picha labda kama unajisikia kuuza suraHapana mkuu,naona nimekosea
Dah nikadhani nimekupeleka maboya, bora hata unapajua humu ndani.Mkuu am good sana,it's just that am not that new