Nimekaa nimefikiriaaaaaa hivi Taifa Stars walishawahi kucheza mechi ya kisasa?

Nimekaa nimefikiriaaaaaa hivi Taifa Stars walishawahi kucheza mechi ya kisasa?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Sijawahi kuona Taifa Stars kucheza mechi ambayo naweza nikasema "Aisee Taifa Stars leo wamecheza mpira wa kisasa sijapata kuona au mechi ya kisasa na ya kufurahisha kama walivyocheza Uganda na Rwanda jana"

Nadhan hata hiyo rekodi hatujawahi kuwafikia.
 
Back
Top Bottom