Nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakini naishi kama mkimbizi kula yangu kama mpira wa danadana

Nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakini naishi kama mkimbizi kula yangu kama mpira wa danadana

Abdu_22

Member
Joined
Feb 8, 2025
Posts
14
Reaction score
12
Habari, nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakn naishi kama mkimbizi kula yangu km mpira wa danadana Kuna muda uanguke Kuna muda uturie mguuni,

Imefika hatua wazazi nilienda likizo mara Moja nimewaambia natak nirudi. Wakaniambia hawanikataz ila nakuwa nimerudi hatua Moja nyuma kimaisha umri niliofkia inabidi niendele mbele sio kuwaza nyumbani...

Mimi kwa akili yangu ya 4m 4 halafu Nina uchungu na Ulaya mana nliambiwa na mzee wangu maisha ni popote ko nImeona niukatae utaifa wa Tanzania niend nijipereke migration niwaambie mimi ni MKONGO natafuta ifadhi Ili nipelekwe kwenye kambi za wakimbizi halafu ikipatikana nafasi mimi niingye mamtoni niepuke huku mashimoni.
 
Habari, nimekaa nimewaza nipo Tanzania lakn naishi kama mkimbizi kula yangu km mpira wa danadana Kuna muda uanguke Kuna muda uturie mguuni,

Imefika hatua wazazi nilienda likizo mara Moja nimewaambia natak nirudi. Wakaniambia hawanikataz ila nakuwa nimerudi hatua Moja nyuma kimaisha umri niliofkia inabidi niendele mbele sio kuwaza nyumbani...

Mimi kwa akili yangu ya 4m 4 halafu Nina uchungu na Ulaya mana nliambiwa na mzee wangu maisha ni popote ko nImeona niukatae utaifa wa Tanzania niend nijipereke migration niwaambie mimi ni MKONGO natafuta ifadhi Ili nipelekwe kwenye kambi za wakimbizi halafu ikipatikana nafasi mimi niingye mamtoni niepuke huku mashimoni.
Vetting tutakayokufanyia kabla ya kukupeleka Ulaya siyo ya kitoto hautatoboa! Labda uende DRC ukajiunge na jeshi upiganen na M23 halafu ukimbie uvuke mpaka!
 
Ebu nyoosha maelezo basi nini unahitaji, kula, kuja ulaya au kupelekwa migration???
Hizo za mmb ya migration ni akili yangu 2 yakijasusi inanambya iwe Kam njia ya mm kufika ulaya., ko mpk apoh kiongozi MAMTONI NDYO LENGO LANGU
 
20 na mwezi 1 na siku 4
Tafuta kazi fanya kijana, mbona Kuna watu kibao wametoboa kimaisha miaka ya 23 nk hivyo ni hivi

Fanya kazi za nguvu sana ukiwa unasave pesa kwa ajili ya malengo Yako kwa mfano kushirikiana na na fundi mwashi(manyumba) nk

Piga kazi za kwenda porini kupasua mbao, piga vibarua mkuu nk
 
Tafuta kazi fanya kijana, mbona Kuna watu kibao wametoboa kimaisha miaka ya 23 nk hivyo ni hivi

Fanya kazi za nguvu sana ukiwa unasave pesa kwa ajili ya malengo Yako kwa mfano kushirikiana na na fundi mwashi(manyumba) nk

Piga kazi za kwenda porini kupasua mbao, piga vibarua mkuu nk
Mwanng ntaend kukata mbao Dunia ya watu weupe ntakuwa saidia Fundy huko ila bongo kazi kubwa mshahar kidole Cha mwisho.
 
Back
Top Bottom