Nimekamatika Jamani

Dah za kupotea?
Hujapoteza bahati mm nipo nipo mbona nitaoa 2012 bahati yako ipo wazi mama ni PM.

Pande hilo kaka mpeleke pole pole unaweza kuta naye ni Mzeenj!
 
Dah za kupotea?
Hujapoteza bahati mm nipo nipo mbona nitaoa 2012 bahati yako ipo wazi mama ni PM.

wewe unapenda tigo nakuogopa na niliona picha yako kwenye thread yangu ulivyoutaniua.
 
wewe unapenda tigo nakuogopa na niliona picha yako kwenye thread yangu ulivyoutaniua.

Mama tigo ni makubaliano ya sisi wawili kama hupendi siwezi nikakulazimisha tutumie tiGo tutahamia hata Voda au Zantel usiwe na shaka siwezi nikakulazimisha nakubali matakwa yako.
 
Fidel80 ikane tiGo hapo mambo yakijipa unafungulia muziki
 
Mama tigo ni makubaliano ya sisi wawili kama hupendi siwezi nikakulazimisha tutumie tiGo tutahamia hata Voda au Zantel usiwe na shaka siwezi nikakulazimisha nakubali matakwa yako.

Mzee unajua kuimba, mpM chriss na nguli for mashairi
 
Burn yuko wapi alisema nimesahau p/w sio naingia kama guest niko bize mwenzenu naosha glass bar mara kufagia barabara nakuhudumia hotelini huku maisha sio mchezo. Na shule juu.
 
Burn yuko wapi alisema nimesahau p/w sio naingia kama guest niko bize mwenzenu naosha glass bar mara kufagia barabara nakuhudumia hotelini huku maisha sio mchezo. Na shule juu.

Achana na burn nasikia anahojiwa na TAKUKURU! napokea PM anyway
 
Burn yuko wapi alisema nimesahau p/w sio naingia kama guest niko bize mwenzenu naosha glass bar mara kufagia barabara nakuhudumia hotelini huku maisha sio mchezo. Na shule juu.

Achana na Burn kwanza ameoa na mzee sasa wa nini mtu mzima wakati vijana tupo mama
 

I love this song ooooooooooooh! this is my favorite jamni! jamani! jamni! Masanilo muimbie wifi naupenda sana ni mzuri! Uh! unaujua?
 
I love this song ooooooooooooh! this is my favorite jamni! jamani! jamni! Masanilo muimbie wifi naupenda sana ni mzuri! Uh! unaujua?

Yes! issue itakuwa kwenye kuimba....ushaona wapi msukuma anaimba taarabu?
 
I love this song ooooooooooooh! this is my favorite jamni! jamani! jamni! Masanilo muimbie wifi naupenda sana ni mzuri! Uh! unaujua?

Hehehehe ukimaliza shughuli urudi hapa
 
I love this song ooooooooooooh! this is my favorite jamni! jamani! jamni! Masanilo muimbie wifi naupenda sana ni mzuri! Uh! unaujua?

Mtoto amechanganyikiwa na mashairi. Unahitaji zaidi?
 

nimependa hiyo red mkuu please ufafanuzi kidogo vipi umeshaitumia mpwa??
 
Muombe Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…