Nimekamatika Jamani

Dah Mwana huyo shemu kwa story uliyonipa kama ndio alivyo basi......... nakushauri ununue mguu wa kuku kwanza

Any way dini sio inshu kwa maisha ya sasa kama kweli umempenda kutoka moyoni hilo si jambo la kusema tukae chini kulijadili maana upendo wa kweli hauangalii dini wala kabila we msomeshe na atakuelewa
 
Mkubwa hongera sana lakini pia naona hiyo 10 years ni mingi sana kama alivyosema BAK maana naona unaweza kuwapa chance watu wengi si unajuwa tena tabia za wanawake jinsi walivyo??Lakini zaidi ya hapo enjoy life kaka kula kila kitu usiache kabisa!!
 

Karibu kwenye club ya kudumisha Muungano.
 

Mzee wa darajani hapo nilipoweka nyekundu sijakusoma vizuri unamaanisha mkia kwa ujumla au ndo umefanya ule mtihani wa vitendo?
 
Dini sio kitu kaka hata mimi nilizaliwa na mama muislamu ila mimi ni mkristo na kuna kipindi nilitaka kuwa padre ila nikabadili mawazo..chukua ngoma hiyo muungano udumu.
 
Pole sana hii inaitwa thunderbolt, ( refer Mario Puzo " the godfather") hii ukiipata haina tiba wala nini dawa yake ni kuendelea mbele na kuweka ndani mambo ya dini na mustakabali wa baadaye yatafuata.
 
Nimekaa zenj,nilipofika tuu wenyeji wangu wakanionya wakinihasa kuwa makini na akina dada wa kizenj kwani naweza kutangaza bila kutarajia.Rafiki yangu niliyokuwa nae akajiachia,wenyeji wetu wakawa wananiambia,"Amini usiamini,rafiki yako sasa hivi anatangaza ndoa,nikabisha"Si kuamini macho wala masikio yangu,jamaa akumaliza hata miezi miwili,akatangaza ndoa.Sasa leo hii Masa yuko hoi, IAM BECOMING CURIOUS.
 

eeeeh kumbe miaka yoooote hiyo uko single status we oa tu si mnapendana kama .hataidhurumu nafsi kula /kufanya kitu roho inapenda endeleaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
walah mtume!!
hivi kumbe ulikuwa bado kamata kifaa kaka, ila unaonekana kama hujatulia maana kuna kipindi ulileta maada hapa kama hii!
hukumchukua dada wa watu, isije ikawa kazi yko ni kusafisha bunduki tu mara inapopata vumbi!!!
hahahahaha
 
Ni katika mapitio mazee kabla hujafika nchi ya ahadi....Kaanan kwenye maziwa na asali!

Salama lakini?

walah mtume!!
hivi kumbe ulikuwa bado kamata kifaa kaka, ila unaonekana kama hujatulia maana kuna kipindi ulileta maada hapa kama hii!
hukumchukua dada wa watu, isije ikawa kazi yko ni kusafisha bunduki tu mara inapopata vumbi!!!
hahahahaha
 
Asante Kamanda! Unaweza kuwa baba upande wa mume harusi in 10 years, tuombeane heri. Ushanifahamu?
Kheeeee Heeee heeee Eeeh!
Naona umeshaanza kuongea lugha moja na mpenzio! Hongera sana kwa jitihada zako za kudumisha Muungano!
 
Kheeeee Heeee heeee Eeeh!
Naona umeshaanza kuongea lugha moja na mpenzio! Hongera sana kwa jitihada zako za kudumisha Muungano!

Shem wewe nipe mwaka lafudhi yangu ya Kisukuma itakwisha kabisa!
 


Ha ha haaaaaaaa, sifia chako mwanawane!
 
Mwe naona kama mazingaombwe humu ndani leo? mdada hanywi pombe wewe unataka kumpa pombe (una uchizi wewe kama siyo kichaa aliyekamilika). Nafikiri kubalianeni tu ila sijui maana mambo ya ukiristo na uislam kudumu kwake ni kudogo sana. Tumuombe Mungu akusaidie. Bad thing is umezimia mapenzi yake si vinginevyo.


Jipe moyo na sali sana urafiki wako udumu.
 
Kwanza zinaa, kisha dini....!! Ni sawa na mtu kuchamba kwanza kabla ya kwenda haja kubwa.
 

Tafadhali bwana kwani CD unauzoefu na hilo? Nadhani ni kuwekeana mikakati mapema na kuthaminiana!
 
Kwanza zinaa, kisha dini....!! Ni sawa na mtu kuchamba kwanza kabla ya kwenda haja kubwa.

Mzee lazima upime oil, mafuta ya Engine, Break na Tyre pressure kabla hujaanza safari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…