Nimekamatika Jamani

Mzee lazima upime oil, mafuta ya Engine, Break na Tyre pressure kabla hujaanza safari!


msaidie tu afanye check "C"
 
Binti kuolewa na kafiri marufuku. Labda weye mwanaume uamue kusilimu. Naye binti akiweka nta masikioni na kuamua kuolewa pasi na radhi ya wazazi ajue anayatafuta makubwa. Hivyo mfikirie kwa makini msijetulaumu mbele ya safari! Miye nshasema hivo!
 
Binti kuolewa na kafiri marufuku. Labda weye mwanaume uamue kusilimu. Naye binti akiweka nta masikioni na kuamua kuolewa pasi na radhi ya wazazi ajue anayatafuta makubwa. Hivyo mfikirie kwa makini msijetulaumu mbele ya safari! Miye nshasema hivo!

Yakhe suala la kubadili na kuslimu lipo sasa tukijashindwana mbele ya safari itakuwaje?
 
Wewe kaka unaonekana ujatulia wewe.Nimekusoma unavyoandika hapa inaonekana unataka kumchezea tu mtoto wa watu.Bado ujana unakusumbua
 
Yakhe suala la kubadili na kuslimu lipo sasa tukijashindwana mbele ya safari itakuwaje?

Kama mtajashindana huko mbele ya safari hutopata hasara manake utaendelea kuwa muumini alafu yake thawabu hutopoteza.
 
Yakhe suala la kubadili na kuslimu lipo sasa tukijashindwana mbele ya safari itakuwaje?

Mheshimiwa unataka kubadili dini kwa sababu ya penzi? Hapo siwezi kukushauri ufanye hivyo maana kama ulivyosema mkija kushindwana mbele ya safari ndio mwanzo wa kuanza kujuta.

Mie mzanzibari wangu anajua nishaweka wazi dini siwezi kubadili na yeye halazimishwi kubadilisha dini uzuri mwingine ni kuwa baba yake yuko moderate ila tatizo liko kwa wapambe nuksi (mashangazi na wavimba macho wengine).
 
Wewe kaka unaonekana ujatulia wewe.Nimekusoma unavyoandika hapa inaonekana unataka kumchezea tu mtoto wa watu.Bado ujana unakusumbua
Masanilo angania utashotiwa, mi simo.
 
Wewe kaka unaonekana ujatulia wewe.Nimekusoma unavyoandika hapa inaonekana unataka kumchezea tu mtoto wa watu.Bado ujana unakusumbua

Masanilo ni Mbaba sio mkaka nearly to MZEE!
 
Mzee lazima upime oil, mafuta ya Engine, Break na Tyre pressure kabla hujaanza safari!


msaidie tu afanye check "C"
I concur with you!!
Ukiacha kipima hata kimoja kati ya hivyo, inakula kwako mbele ya safari, utalala porini........nina experience.
 

Kwa hiyo unashauri hata wanawake wanaobembelezwa na wapenzi wao kubadili dini wafikirie mara mbili si ndiyo?
 
Nyie endeleeni kubanjuka tuu,sababu mlishaanza na hakuna wakuwastopisha,kuhusu dini haihusiani na uzinzi,kwahiyo naomba msiusishe dini kwenye zinaa zenu!!
 


Nimekusoma bro.....ngoja nimsomeshe yeye abadili !
 
I concur with you!!
Ukiacha kipima hata kimoja kati ya hivyo, inakula kwako mbele ya safari, utalala porini........nina experience.

Hahahahaah

gkundi balaaa....pole kaka niko na tahadhali zote! Asante sana
 
Masanilo ni Mbaba sio mkaka nearly to MZEE!

Wewe kaka unaonekana ujatulia wewe.Nimekusoma unavyoandika hapa inaonekana unataka kumchezea tu mtoto wa watu.Bado ujana unakusumbua

Nitake radhi annamaria

Nimetulia kama maji ya kwenye mtungi, usisahau siri ya mtungi yaijua kata! Ujana nimekaribia umaliza, wala hatuchezeani....Karibu Zeenj
 
Ukweli niyakuwa the more similarities you have the more compatible u r and the less problems u'll have but then again Dangerous and forbidden love is the sweetest.Pls enjoy2 the maximum coz payday ikifika utalipa vilivyo.
 
Hahahaha harudi mtu huku nahamasisha CUF wakubali Muafaka! hahahahahah

Ustaadhi Masa

duh. ushakuwa ustaadhi! kweli umebanwa kama mjusi na toto la kizenji.
hata hivyo hongera sana.

naona xpin anahojiwa na vijana wa hosea manake yuko jii, au ameshikwa
na kigugumizi kusikia nduguye umeshikwa lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…