Mshikaji wanitosa kimaso maso!
Nakutosa tena wakati umekamatika?!..ha ha, kidding!! .
Nipo bado Zeenj ila nikitoka huku naelekea Kyela!
hehehe!mpwa umetutosa hivihivi,HAYA BWANA!dataaz zote tunazoTeh teh teh teh jamani Kyela kutamu sana niko na Mzeenj wangu baada ya mwaka mpya tuna rudi kisiwani teh teh teh ....Nguli upo?
upo mama?du ukipita kyela nisalimie mashemeji zangu huko hahahah
Teh teh teh teh jamani Kyela kutamu sana niko na Mzeenj wangu baada ya mwaka mpya tuna rudi kisiwani teh teh teh ....Nguli upo?
ukifika pale jaribu kuwasiliana na MKADANGE!amerudi likizoπMi utanipitia Makambako mpwa nitakuwa nakula vitu taratiiiiiiiiiiibu full kujiexpress
ukifika pale jaribu kuwasiliana na MKADANGE!amerudi likizoπ
Ukitoka makambako teremsha mbeya ukifika SOWETO mpigie simu mkuu DOGO akupeleke SILVER-COIN HOTEL!pametulia sana,utakuwa na chanze ya kwenda kunywa kwenye baa yakeπHivi hajaenda Njombe kweli? powa ndo atakuwa mpambe wangu mkuu
KWA NAMNA NINAVYOIELEWA HII MOVIE!mpwaaaz AMEKAMATWA!kubadili dini itakuwa ni swala dogo sanaNi lazima utabadili dini tu. nyota zako zote (nafsi) yako ameshaikamata. acha uongo wa kubaki na dini yako.
Ukitoka makambako teremsha mbeya ukifika SOWETO mpigie simu mkuu DOGO akupeleke SILVER-COIN HOTEL!pametulia sana,utakuwa na chanze ya kwenda kunywa kwenye baa yakeπ
ukiingia tunduma kuna mshikaji wangu pale anajina refu kudogo anaitwa MASIKITIKO GASTONI KIPIPA CHAMBEREGE SANGA.ni klasimeti huyu wa praimari kipindi hicho.sasa hivi hela imemkubali.leo yupo china nadhani.ila atakuwepo x-masi.nitakupa namba zake.yule ni mzee wa gud tym,Hahahaha dah vekesheni naona itanoga kweli kweli ngoja nifunge mikandazi
...now, zis is wat i call 'real kukamatika!'...π±
NDUGU YANGU,upo?Mbu, umeona eeh!! kakamatika kwelikweli yaani mpaka anajiita J4, naona mambo ya huyo bibie si mchezo..