Msimamo mpwa as from today am a single lady, nimempiga kibuti jana after the ushauriz, thanks to you all, kazana tu huko uswazi.
Msimamo mpwa as from today am a single lady, nimempiga kibuti jana after the ushauriz, thanks to you all, kazana tu huko uswazi.
Kesi ndogo sana hii mpwa! hicho kifaa unachozungumzia hala hala chaja ya kobe!
Msimamo mpwa as from today am a single lady, nimempiga kibuti jana after the ushauriz, thanks to you all, kazana tu huko uswazi.
ukimwi???!......ukimwi wanao watoto wa kishua
Karibu Vivian nakuona kwa mbaaaaaaaali ulinidengulia nimesha pata pumnziko la roho mtoto wa uswazi najua wewe na MaDSTV yako huwezi ukasimama nae kila idara mtoto yupo fiti maswala ya nyonga ndo usiseme.
Hahaha! Mpwaaaz! Naona ushakanyaga breki ya nyuma! LOL!
is it? I never knew This! Thanks for the Information Geoff
Karibu Vivian nakuona kwa mbaaaaaaaali ulinidengulia nimesha pata pumnziko la roho mtoto wa uswazi najua wewe na MaDSTV yako huwezi ukasimama nae kila idara mtoto yupo fiti maswala ya nyonga ndo usiseme.
Msimamo mpwa as from today am a single lady, nimempiga kibuti jana after the ushauriz, thanks to you all, kazana tu huko uswazi.
Halafu wewe! Wewe! Wewe!
Ulikuwa wapi siku zote hizi? Nilitaka nikutie nyuma ya stauti ukaingia mitini!
Hao ndugu zako wamekuambia wanatafuta mchumba WA KUOA, nafikiri wajitangaze wenyewe.Ohoo sasa hapa unaongea, kumbe walau umetusikiliza. Now that u r single, kuna ndugu zangu walau wawili (Geoff Mmojawapo) anaweza kuingia kipindi hiki cha pili....
ndio mama!NATAKA KUKUWOWA!.......😀Hao ndugu zako wamekuambia wanatafuta mchumba WA KUOA, nafikiri wajitangaze wenyewe.
Yuko wapi maana na yeye ana kesi ya kujibu nzito sana