Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko lonely sana, nahitaji ushauri wa jamii. Sina msaada kabisa, sina washauri hasa kisaikolojia
Kuna makosa mengi sana nimekosea yamepelekea nikose furaha ya maisha kabisa.
Pole sana. Ujauzito huo we lea tuu kila mtoto huja na sahani yake.Niko lonely sana, nahitaji ushauri wa jamii. Sina msaada kabisa, sina washauri hasa kisaikolojia
Kuna makosa mengi sana nimekosea yamepelekea nikose furaha ya maisha kabisa.
YatapitaNiko lonely sana, nahitaji ushauri wa jamii. Sina msaada kabisa, sina washauri hasa kisaikolojia
Kuna makosa mengi sana nimekosea yamepelekea nikose furaha ya maisha kabisa.
Kukosekana kwa Afya ya akili na mwili inawez kuwa tokeo la kwenda mrama kwa hayo mambo mengine juuMatatizo yako yamekaa wapi hapa
@ Mahusiano
@ Uchumi
@ Familia kiujumla
@ Kazi .
@ Afya ya Mwili na AKILI
Ungeweza kujibu hata kwa uchache tungejua tukupe ushauri kwa namna gani. na nini urekebishe.
Haya mambo watu huwa wanaandika insta au fb huko ambao watu hawajielimika ila huku kuna watu wenye elimu zao na hela zao usiwe ka ndeziJamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅
Acha umama... pimbi weweJamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake [emoji28]