Health service
Member
- Mar 8, 2014
- 60
- 11
njoo muhimbili kitengo cha macho upate msaada, ili hata kama hutapona kabisa tatizo lako basi wataalamu wakusaidie kulielewa vyema na kwa undani ili roho yako angalau itulie
Umechezewa macho? Kwa faida gani? Si bira wangekuchezea sehemu za siri wakapata walau raha kidogo?
Mkuu kama ccbrt wameshindwa hapo muhimbili wataweza kweli?
Halafu nauliza
kuhusu tiba mbadala, wapo baadhi ya madaktari wamenambia kuwa hospital
hazina dawa za matatizo ya macho zaidi ya operation, hivyo naambiwa
niende kwa wataalam wa tiba asilia wanaotibu kwa vidonge, pia wapo
wanaoniambia kuwa kama hospital hawana dawa ya kunitibu, basi! hata tiba
za asili za kina dr. ndodi hazitanisaidia, hivyo nakata tamaa ya kupona
kwa kuwa hospital hakuna tiba ya tatizo langu.
Ni dr.gani anaweza kunipatia tiba kamili kwa huko dar? mimi nipo
dodoma.
Umechezewa macho? Kwa faida gani? Si bira wangekuchezea sehemu za siri wakapata walau raha kidogo?
hivi uumwe macho kiukwelikweli na unaambiwa uvae miwani utakataaje? mbona watu wanavaa miwani na maisha yanasonga mbele!?na ujue cku zinavyozidi kusonga ndo yanazidi kuharibika!
Mbona unaleta utani kwenye mambo nyeti hivi rafiki yangu? Alafu umejua mleta mada ni jinsia gani
Tatizo lisikie kwa mwenzio lakini siku likiwa kwako,
utalia na kusaga meno.
Pole sana; angalia usiweke madawa kwenye macho
unaweza ukayaharibu kabisa;
God be with you.
Habari wa jukwaa letu la lfdoctor?
Jamani nimekata tamaa ya kupona macho, nimetembea kwenye hospital nyingi tu naambiwa hawaoni tatizo wananipa tu ushauri wa kula vyakula na matunda na pia kutumia miwani ili kurekebisha uono hafifu, hii ina maana kuwa hospital hakuna tiba ya macho zaidi ya kupewa miwani tu.
Mimi binafsi sipendi kutumia miwani bali ni kupona kabisa tatizo la macho, niliwahi kuambiwa nimechezewa lakini hata tiba za jadi hazijanisaidia zaidi ya kufuja pesa. naombeni ushauri wadau nifanyeje?
ccbrt walikwambia tatizo hasa ni lipi? na je wewe unalielewa?