Hili ndio tatizo la elimu ya kitanzania, inawaandaa wasomi kuwa wafanyakazi wa kuajiriwa badala ya kuwaandaa kuwa watu wanao weza kutengeneza fursa za ajira kwa kutumia rasilimali zilizopo.. Nakushauri ubadilike, achana kabisa na hiyo attitude ya kutafuta kazi ya kuajiriwa. Dhana ya kusoma & kufaulu vizuri ili upate kazi ya kuajiriwa ilikuwa valid mwaka 1985 kurudi nyuma, sasa hivi hali imebadilika sana. Dunia ya sasa hai wa accomodate watu wanao amini katika kuajiriwa, bali wanao weza kuthubutu kujiajiri wenyewe. Wewe kama mpaka leo hii bado una mawazo ya kutafuta kazi ya kuajiriwa, basi count urself as a person who can fit in the winners circle.
[h=1]Do not pray for an easy life, pray for the strength to endure a difficult one Bruce Lee.[/h]