Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
ziko wapi ?
Hizi ndo picz za kijitabu changu jamani.....
Mkuu nimetoa macho ka mjusi nazisubiri hizo picha
nimeshindwa ku upload mkuu kila nikfanya naona ngoma inagoma mpaka mwaka mpya unataka kunikuta hahahahha....
.....gonga hiki kialama kipo chini ya quick reply.....then itajipa
Hapo kwenye kijani utata mkuu.. Ha ha ha..
Preta kote huko nimejaribu, ziko kwa desktop yangu so sijui how na sio moja ni nyingi mama, ni kama 36,4MB so nimejaribu ku attach napo inasema ni too kubwa kuingia nikasema makubwa haya tena, sijui nifanyaje, kila njia inagoma mama kuwekwa, nisaidie kama unajua njia nyingine kuingiza hii kitu...
Mkuu nikuibie nini sasa? Nimejaribu nimeshindwa kuingiza sasa wizi au UFISADI unatoka wapi hapa man,....nambie how tu upload mzee then will do...Tumeibiwa hapa i got these feelings sorry..........
MH ITAKUA KWELI KUBWA:embarrassed:😱:embarrassed::redfaces::teeth: :A S-alert1:
MH ITAKUA KWELI KUBWA:embarrassed:😱:embarrassed::redfaces::teeth: :A S-alert1: