Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Nilikuwa ni mbabe wa kutafuta mademu mitandaon lakin sasa nimekoma
Haata baadh ya watu waliokuwa wakinishaur kuwa niachane na wanawake wa mitandaon lakin niliwapuuza sikuwasikia
Sasa leo niko hapa dar maeneo ya sinza si nikakutana na demu mmoja ambaye tulikuwa tumepanga kuonana toka jana
Demu huyo nilijuana naye huko inster, kwa inster huwa anapost picha kali kinoma yaan ni mkali balaa lakin kumbe ni tofaut kabisa na jinsi alivyo
Sasa si leo nimekutana naye ebhana ee yaan hata sijamuelewa kabisa sijui ni mbibi sijui ni mzee yaan hata hasomek aisee
Kwanza ana rangi mbili kama piliton alikuwa kavaa kitop aisee ana kwapa jeus kinoma mazee
Nimekoma kabisa sitarudua tena kutafuta mademu mitandaon
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Nilikuwa ni mbabe wa kutafuta mademu mitandaon lakin sasa nimekoma
Haata baadh ya watu waliokuwa wakinishaur kuwa niachane na wanawake wa mitandaon lakin niliwapuuza sikuwasikia
Sasa leo niko hapa dar maeneo ya sinza si nikakutana na demu mmoja ambaye tulikuwa tumepanga kuonana toka jana
Demu huyo nilijuana naye huko inster, kwa inster huwa anapost picha kali kinoma yaan ni mkali balaa lakin kumbe ni tofaut kabisa na jinsi alivyo
Sasa si leo nimekutana naye ebhana ee yaan hata sijamuelewa kabisa sijui ni mbibi sijui ni mzee yaan hata hasomek aisee
Kwanza ana rangi mbili kama piliton alikuwa kavaa kitop aisee ana kwapa jeus kinoma mazee
Nimekoma kabisa sitarudua tena kutafuta mademu mitandaon
LONDON BABY