Nimekoma kutafuta mademu mitandaon

Hapana shemu wangu hiki kisa ni cha kweli leo nilienda kukutana na msichana wa mtandaon nilivyo mkuta na jinsi alivyokuwaga ananitumia picha ni vitu viwili tofaut kabisa

Lakin usimwambie wife mbitiyaza
Akupe kazi uwe unakuwa busy angalau.
 
Usikate tamaa!na wala usiape!ila Muhimu ni kumwomba Mungu
 
Tatizo mnadanganyika na majina mazuri mazuri
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…