Nimekosa interview kwasababu ya kuwa kwenye likizo ya uzazi

Nimekosa interview kwasababu ya kuwa kwenye likizo ya uzazi

Dilas

Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
81
Reaction score
67
Habari,
Naomba msaada wa mawazo. Nimeitwa kwenye usaili lakini nimeshindwa kufika kwasababu ya uzazi (nimejifungua hivi karibuni) hivyo nimeshindwa kusafiri.

Kuna kitu ninaweza kufanya, mtu ninayeweza kuongea naye au ndio imekula kwangu?
 
habari,
naomba msaada wa mawazo. nimeitwa kwenye usaili lakini nimeshindwa kufika kwasababu ya uzazi (nimejifungua hivi karibuni) hivyo nimeshindwa kusafiri.
kuna kitu ninaweza kufanya, mtu ninayeweza kuongea au ndio imekula kwangu?
Achana nayo hiyo haikuwa bahati yako
 
habari,
naomba msaada wa mawazo. nimeitwa kwenye usaili lakini nimeshindwa kufika kwasababu ya uzazi (nimejifungua hivi karibuni) hivyo nimeshindwa kusafiri.
kuna kitu ninaweza kufanya, mtu ninayeweza kuongea naye au ndio imekula kwangu?
Unasema upo ktk likizo ya uzazi means una Kazi yako now? If yes tulia na Kazi yako ulee huyo mtoto ili baadae uendelee na harakati zako as usual
 
Hongera umepata mtoto hayo mengine utafanikiwa tuu hiyo haikua bahati yako..
 
Hakuna kitu utapata kama usaili umesha fanyika

Na hasa kama ya serikali/utumishi...

Kama private nenda kajaribu bahati yako
 
Ya Private inawezekana ukapata nafasi tena if you're exceptional talent ila kama ni kawaida tu jipange kwa nafasi nyingine ikitokea.

Ila kama ni serikalini tuseme Salamaleko.
 
Unasema upo ktk likizo ya uzazi means una Kazi yako now? If yes tulia na Kazi yako ulee huyo mtoto ili baadae uendelee na harakati zako as usual
Sawa sawa. Ni katika kutafuta kipato zaidi tu. Kama usemavyo, wacha niendelee na harakati nyingine.
 
Kazi tayari unayo, mtoto unaye na hope mwanaume pia unaye hivyo tulia kwanza.
 
Hakuna kitu utapata kama usaili umesha fanyika

Na hasa kama ya serikali/utumishi...

Kama private nenda kajaribu bahati yako
Yeah ni ya serikalini. Imeniuma maana nafungua tu portal naona usaili ni leo.
 
Ya Private inawezekana ukapata nafasi tena if you're exceptional talent ila kama ni kawaida tu jipange kwa nafasi nyingine ikitokea.

Ila kama ni serikalini tuseme Salamaleko.
Sawa sawa asante.
 
Ungemwambia baba wa mtoto alipeleke kwenye interview hata ukiwa na dripu ya maji.
Kwani baba watoto wako ameshindwa hata kukodi bajaji ikupeleke?
 
Habari,
Naomba msaada wa mawazo. Nimeitwa kwenye usaili lakini nimeshindwa kufika kwasababu ya uzazi (nimejifungua hivi karibuni) hivyo nimeshindwa kusafiri.

Kuna kitu ninaweza kufanya, mtu ninayeweza kuongea naye au ndio imekula kwangu?
Lea mtoto achana na interview. 84 days ndio then waza mambo ya interview.
 
Back
Top Bottom