<br />niPM nikupe mwanga ndugu.
Mimi naona kazi ipo wazi sema yeye kajiangaisha kusoma hayo mambo yake ambayo hayajamsaidia,kuna mtu namfahamu alikuwa katika same situation ila now anasomesha wadogo zake na anategemewa,yeye alivyoona soko la ajira limekaa mguu nje mguu ndani basi akaapply education chuo cha mtwara na alivyomaliza alifanya kuchagua tu shule ipi,sasa hivi anampango wa kufanya Bs in mathematics......huu ni mfano mmoja katika mingi kwahiyo nafasi bado unayo......PIGA UALIMU.
Teh teh teh teh Hamy D broda jamaaa bora atafute kingne coz hata ualimu hataweza sababu ATAENDA KUKIFUNDISHA NINI HUKO zaidi ya kuwapa mimba ma denti na kujifanya teacher fear ili apate kuwaomba hela wanafunz na kuwa dowea breaktime Lolz!