Elias K
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 213
- 607
Wakuu Kama mmesoma threads zangu za nyuma, ni wazi kwamba napitia kipindi kigumu kimaisha. Sasa wiki hii Kuna kibarua nilipata hapa Arusha wakahitaji kadi ya nida na ya chanjo ya Corona, nikawapa ya Corona na namba ya NIDA, wakasema wanahitaji kadi kabisaa siyo namba!
Nilijiandikisha tangu mwaka 2019 katika kituocha USA-river, Arusha. Ajabu ni kwamba Kuna baadhi ya watu nawafahamu walijiandikisha mwaka jana(2021) na tayari Wamepata vitambulisho. Najiuliza wamavipataje mapema hivyo!
Leo nimeenda pale ofisini saa mbili na nusu, ofisi ipo wazi ila wahusika hawajafika kazini. Baadaye walipofika, majibu ni yale yale "kitambulisho chako bado hakijatoka, kikitoka utajulishwa.
Nikawaambia naomba Kama Kuna utaratibu sikukamilisha mniambie tu nijaze fomu upya kwani kuna wenzangu wameshapata na nilijiandikisha kabla yao, wakasema "fomu lako limekamilika kabisa endelea kusubiri tutakupigia simu"
Najiuliza tu kama hao ni watumishi wa umma au ni akina Nani. Na ilikuwaje waliojiandikisha mwaka 2021 wameshapata kadi zao lakini Mimi niliyejiandikisha mwaka 2019 sijapata Hadi wa leo?! Au ndiyo Mambo ya connection?! Nimewaza hivyo baada ya kusoma baadhi ya nyuzi ambazo nitaziambatanisha hapa chini.
Kama Kuna mtu anaweza kunisaidia aninisaidie tafadhali, hata ukihitaji chai nitakupa ilimradi nipate hiyo kadi nikakamilishe maombi ya kazi.
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Nilijiandikisha tangu mwaka 2019 katika kituocha USA-river, Arusha. Ajabu ni kwamba Kuna baadhi ya watu nawafahamu walijiandikisha mwaka jana(2021) na tayari Wamepata vitambulisho. Najiuliza wamavipataje mapema hivyo!
Leo nimeenda pale ofisini saa mbili na nusu, ofisi ipo wazi ila wahusika hawajafika kazini. Baadaye walipofika, majibu ni yale yale "kitambulisho chako bado hakijatoka, kikitoka utajulishwa.
Nikawaambia naomba Kama Kuna utaratibu sikukamilisha mniambie tu nijaze fomu upya kwani kuna wenzangu wameshapata na nilijiandikisha kabla yao, wakasema "fomu lako limekamilika kabisa endelea kusubiri tutakupigia simu"
Najiuliza tu kama hao ni watumishi wa umma au ni akina Nani. Na ilikuwaje waliojiandikisha mwaka 2021 wameshapata kadi zao lakini Mimi niliyejiandikisha mwaka 2019 sijapata Hadi wa leo?! Au ndiyo Mambo ya connection?! Nimewaza hivyo baada ya kusoma baadhi ya nyuzi ambazo nitaziambatanisha hapa chini.
Kama Kuna mtu anaweza kunisaidia aninisaidie tafadhali, hata ukihitaji chai nitakupa ilimradi nipate hiyo kadi nikakamilishe maombi ya kazi.
Vitambulisho vya NIDA ni usumbufu usio na lazima
Habari za muda huu wanajamvi...... Matumizi ya VITAMBULISHO vya NIDA dhumuni lake lilikuwa zuri ila Sasa limekuwa ni hangs linalo sumbua watu Kila uchao. Mimi nilifanikiwa kupata kitambulisho hiki tangu 2016, lakini kitambulisho hiki kilikuja kikiwa kimekoseaanilifatilia kwakuwa kitambulisho...
NIDA; urasimu wa upatikanaji wa NIN number online, umegeuka fursa(dili) kwenye ofisi za wilaya. Kupata NIN yako bila kutoa chochote, sahau!
Mamlaka ya vitambulisho vya taifa tanzania ( NIDA) sidhani kama walikuwa na lengo la kukamilisha mradi huu kwa wakati, Nahisi kuna watu ndani ama nje ya idara hii kwa makusudi na kwa malengo yao binafsi wanayoyajua wao wanaosababisha kadhia hii iendelee kwa makusudi kabisa. Urasimu huu unakuja...