Nimekosa mwanaume 'serious'

EndeleA kuchagua... hata usiwe na haraka.
 
huyo huyo anatosha kuwa pochi
Inaonekana unajifanyaga matawi ya juu sana sasa ushauri wangu tafuta kijana wa mtaani mpe papuchi akikupa mimba unaachana naye unalea mwanao hiyo ndiyo faraja yako yakudumu achana na wanaume
 
Ungeenjoy sana endapo ungeamua kuish na wanaokupenda na sio unaowapenda maana wanaokupenda wangekusumbua sana mi nkipata dem anaenipenda zaid kuliko mm ntafurah sana maana ntaish nae kwa aman sana
 
nina miaka 35

Duh umri umeenda sana ila sidhan wote wanaokutongoza hakuna hata mmoja mwenye nusu ya sifa Za unaemuhitaji au unamuonekano Jokate na unahitaj hb kama Yusuph mlela au Hemedi [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…