Nimekosea email

Nimekosea email

NYAGI DRY

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
379
Reaction score
165
Habari za kazi?

Juzi nilikuwa nafanya maombi kwenye vyuo mbali mbali vya afya through nacte on line registration sasa nkakosea email, nashindwa kuendelea na chochote.

Nawapigia hawapokei nawatumia email hawajibu sasa cjui nifanyeje wadau.

Naombeni mwenye mawazo au msaada!
 
log in
halafu edit your profile.
au ntumie username & password nkusaidie.
 
Back
Top Bottom