Nimekubali matokeo, UKAWA Kanda ya Ziwa wako vizuri, Mnyika, Salum ni Combination ya hatari

Nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa CDM imekomaa, imejulikana hata vijijini kwa vijana na wazee, kwa wanawake na wanaume, kwa dini zote kubwa yaani waislamu na wakristo. Huu ni wakati wa CDM kubadili strategies zake za kujijenga. Wapunguze maandamano badala yake wafanye mikutano na kutumia vyombo vya habari kama TV, redio, social media na magazeti. Kuanzia sasa waepuke kukwaruzana na vyombo vya dola bila sababu za msingi ili kuondoa ile dhana inayoenezwa na wapinzani wao kuwa CDM ni chama cha fujo na vurugu. WanaCHADEMA tafakari.
 
dah sema ndugu yangu mnyika hana nyota ila promo kibao ila bado yupo palepale akawaulize hawa walifanyaje zitto nape mbowe slaa mwigulu na warioba anatamani kuwa kwenye heading lkn hola pole kijana mnyika
 
jbitungo.
hatuandamani kwa ajili ya kuuza sera za chama chetu bali tunaandana kupinga uchafu wa ccm.sera zetu tunazinadi kwenye mikutano
 


Mabadiliko shurti yatokee ama unataka ama hutaki, na hapo ndio kwenye tatizo kwani Pasco na baadhi ya wadau wanapata ukakasi sana wanapoona ishara za mabadiliko. Taratibu tu wataelewa kwa nini mabadiliko hayazuiliki.
 
Kuna kitu huwa nakipenda kuhusu Pasco huwa sio mnafiki katika mambo fulani, huwa anasema ukweli. Japo kwa Lowassa kashinda. Off course naamini tuna imani moja (Mimi nakubali mapungufu).
 
Last edited by a moderator:

Atakuwa anaongelea hiki mnachp kiogopa

 
Kamanda mbona unaenda mbali sana ungeulizia tu matokeo ya uchauzi Majimbo mawili Chalinze na Kalenga matokeo yalikuaje.

wizi wa kura na kutumia dola kwa watu maskini wa akili. kalenga hawana uelewa, hivo kuwapa wali na nyama, tayari mnashinda, hii iko wazi. Watu wanakula nyama mara moja kwa mwaka, unategemea nini. CCM imewafanya watu kuwa maskini hata kufikiri
 

Baada ya kutajwa kwa jina la Salum Mwalimu kuwa mgombea wa Chadema Zanzibar, sasa naamini Sarari ya UKAWA kuelekea IKULU, inawezekana!.

Hii kitu niliisema mwaka jana!.

Pasco
 
Kuna kitu huwa nakipenda kuhusu Pasco huwa sio mnafiki katika mambo fulani, huwa anasema ukweli. Japo kwa Lowassa kashinda. Off course naamini tuna imani moja (Mimi nakubali mapungufu).

well said,watu wa type ya Pasco ni wachache sana nchi hii. TEAM lowassa
 
Last edited by a moderator:

kanda ya ziwa hatuna masihara tuna elimu na tunajitambua cna.tunaangushwa na mikoa km tabora hauna upinnzan mkoa ule nishidaah
 


Baada ya kutajwa kwa jina la Salum Mwalimu kuwa mgombea wa Chadema Zanzibar, sasa naamini Sarari ya UKAWA kuelekea IKULU, inawezekana!.

Hii kitu niliisema mwaka jana!.

Pasco
Ikulu sio chooni kama vilivyo vyoo vya kwenye baaa au magesti kwamba kila mtu anaingia, la hasha, hawataingia hao miaka buku 5, nyie jidanganyeni afu muone, hao watu ni wa vurugu na undugulization, wapenda madaraka kamwe hawatafanikiwa labda mpaka atakapokuja Yesu kwa mara ya pili.
 
kanda ya ziwa hatuna masihara tuna elimu na tunajitambua cna.tunaangushwa na mikoa km tabora hauna upinnzan mkoa ule nishidaah
Uwingi wa watu kwenye mikutano ya njaa hiyo haimaanishi kuwa eti Chadema ndo watapita, vijana wenyewe hata kura hampigi, mnashabikia ujinga tuu lkn mwisho wa siku baba atazidi kuitwa baba na mtoto atabaki kuwa mtoto as well as mama ataitwa mama, msipoteze muda wenu kurubuniwa na wachumia matumbo wanaojiita Ukawa, wana njaa tu hao
 


Baada ya kutajwa kwa jina la Salum Mwalimu kuwa mgombea wa Chadema Zanzibar, sasa naamini Sarari ya UKAWA kuelekea IKULU, inawezekana!.

Hii kitu niliisema mwaka jana!.

Pasco

Kabisa mkuu tathmini I thabiti na yAkini kuwa Ikulu yasubiri watetezi wa watanzania!! SURELY CCM leaks wound from its death invite patriots for the burial
 
kabisa mkuu tathmini i thabiti na yakini kuwa ikulu yasubiri watetezi wa watanzania!! Surely ccm leaks wound from its death invite patriots for the burial
ondoa matangazo yako ya vifo hapa, ikulu sio chooni wewe fahamu hilo, ukawa watapasikia kwenye redio tuuu, wewe shabikia tu maana hujui kitu, wale ni wachumia matumbo tuu wanaongea mwisho wa siku wanaambulia sifuri
 
Kwa jinsi ulivyo shabiki yani uko kama bendera fata upepo hata ukiambiwa kula kinyesi wala sikushangai unaweza ukala

kumbe kuku mgeni huku,next time soma na uelewe misimamo na itikadi za watu sio unabiahana na wazee wako tu bila hoja mama we
 
UKAWA ACHENI KUCHEZA KIDUKU TUNATAKA MAJINA VYAMA KWENYE MAJIMBO HAYA .....1. Segerea 2 Temeke 3 Ukonga 4 Ilala 5Ilala 6.Kinondoni 7.Kigamboni 8. Serengeti 9.Mafia 10.Morogoro mjini 11.Kilosa 12.Mtwara mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…