Khaa.. mamchagaaAnazo
ah basi watu wanazusha maana walikuwa wanasema kahamia australia huko.Mwanza nilisikia na ni fundi seremala Bingwa kabisa
Tunza yupiDaaah my back days, Tunza popote ulipo nakukumbuka sana kupitia haya mashairi
🎶🎶Nakupendaaaaa
Hiyo sijawahi kusikiaah basi watu wanazusha maana walikuwa wanasema kahamia australia huko.
SijafuatailiaVipi huu wimbo ulimpa mafanikio yoyote kiuchumi?
Wasanii wengi wa zamani, walikuwa hawafanyi mziki biashara, na kupelekea wengi wao kuwa na mafanikio kidogo ama kutokuwa na mafanikio kabisa.Sijafuatailia
Usisahau na ule wa Kilimanjaro Band _Tupendane2026-12-29 in my wed lock (wedding)
I will sing and dance with my beloved one .
One the best song ever.