Kwako LIZZYMIND "Lizzy" mwanamke pekee wa JF ulieubalasa MTIMA wangu, napenda kukufahamisha kuwa mimi ni kijana MTANASHATI nilitokea kukupenda sana, sikuli kwaajili yako, SILALI NAKUOTA wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glass, nikiangalia TV nakuona wewe, nikiangalia bingu naliona jina lako angani, nkiangalia mwezi naona avatar yako, umbo lako namba 8 lanifanya nsifikirie kukusaliti, sauti yako ya upole yanipa kigugumizi, pua yako ya kisomali yanipa hamu nawe. Naomba niwe wako tafadhari kabla sijajiua...!!
Naona ishakuwa fashion. Lol!
hii shughuli kubwa
Hashycool usiogope mwaga na wewe mistari...mchungaji yuko likizo.
Embu acha uchokozi!Hashycool usiogope mwaga na wewe mistari...mchungaji yuko likizo.
Embu acha uchokozi!
Afadhali umekuja jibu hoja ilioko mezani.Embu acha uchokozi!
weka avatar basi na wewe...l.o.l
Asante G kwakuzimia..kufa na kuoza juu yangu!Ila utanisamehe ninae wa ubani wangu Baba mchungaji!!Nahope utaweza kuyakabili mauchungu kisha ufanikiwe kumpata wako mwenyewe..umpende nae akupende!Wako daima Lizzy Masa!
nitaweka hash wangu.
Najua hamu yako ya kuniona japo picha ya uongo.
Hii unaituma kwa SLP au SLB?Asante G kwakuzimia..kufa na kuoza juu yangu!Ila utanisamehe ninae wa ubani wangu Baba mchungaji!!Nahope utaweza kuyakabili mauchungu kisha ufanikiwe kumpata wako mwenyewe..umpende nae akupende!Wako daima Lizzy Masa!