Ntafuata ushauri shem!Naomba unifikishie ujumbe kwa baba mchungaji wangu...tell him I miss him like crazy...ana I love him so...so!
Hao wa uchochoroni achana nao waambie baba hapendi.Wengine wanapenda uchochoroni..wengine kwenye uwazi!Tatizo liko wapi?
Mwambie huyo anaetaka tufiche visivyohitaji kufichwa!Hao wa uchochoroni achana nao waambie baba hapendi.
Wengine wanapenda uchochoroni..wengine kwenye uwazi!Tatizo liko wapi?
Hahahahaha!Sasa nisivimbe bichwa vipi na mtoto wa kike nimependwa mpaka mwisho wa kupendwa?Naam naona Lizzy kichwa kinaanza kujaa, sawa basi umpendwaaaaaa!!!!!!, kawaida mtu akipendwa, huji hisi kama uko mbingu ya saba!!!!!!!!!!!