shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
Hellow..
Nimekuja jamiiforum kuwashika wote..
Wazo la leo
Maisha ni kama gwaride, wakisema Nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza..
So uliye bosi leo usijione umefika, wakisema nyuma geuka tu bosi unakuwa secretary au mfagia choo
Nimekuja jamiiforum kuwashika wote..
Wazo la leo
Maisha ni kama gwaride, wakisema Nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza..
So uliye bosi leo usijione umefika, wakisema nyuma geuka tu bosi unakuwa secretary au mfagia choo