Nimekuja na kitabu cha 'ulimwengu wa sheria na haki' kwa lugha ya Kiswahili

Nimekuja na kitabu cha 'ulimwengu wa sheria na haki' kwa lugha ya Kiswahili

Paroko da travellor

Senior Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
102
Reaction score
101
Habarini wandugu, baada ya kuona uhaba na uhitaji mkubwa sana wa vitabu vya sheria kwa kiswahili niliamua kujificha kwa mda ili nije na kitabu kitakachokuwa kimesheheni madini mbalimbali kuhusu sheria!

Hivyo basi nmekuja na kitabu kinachoitwa ulimwengu wa sheria na haki kikiwa kimesheheni sheria kama sheria za mirathi,sheria za ndoa,sheria za ardhi sheria za kazi na haki za mfanyakazi pale anapofukuzwa kazi,sheria za jinai na utetezi wake nk.

Ninatumaini nimechangia kwa kiasi chake ktk ulimwengu wa sheria na haki tz! Kwa wale wanaohitaji tuwasiliane popote ulipo unakipata

Tuwasiliane 0717901233!

IMG_20180219_091303.jpg
 

Attachments

  • IMG_20180219_091308.jpg
    IMG_20180219_091308.jpg
    66.6 KB · Views: 141
othuman kijana unawaza nini kichwani mwako au umepeleka likizo thinking capacity yako!! Watu tunawaza namna ya kulipeleka mbele hili taifa wewe sijui unawaza nini maskini!!
 
Daaa safi Sana hiki ktabu nilkiona kwa lecturer wangu ofsin kwake ila nkaandka jna la mwandshi tu ndio naktafta kisenge aisee PM me plz bra
 
Habarini wandugu,baada ya kuona uhaba na uhitaji mkubwa sana wa vitabu vya sheria kwa kiswahili niliamua kujificha kwa mda ili nije na kitabu kitakachokuwa kimesheheni madini mbalimbali kuhusu sheria!
Hivyo basi nmekuja na kitabu kinachoitwa ulimwengu wa sheria na haki kikiwa kimesheheni sheria kama sheria za mirathi,sheria za ndoa,sheria za ardhi sheria za kazi na haki za mfanyakazi pale anapofukuzwa kazi,sheria za jinai na utetezi wake nk.
Ninatumaini nimechangia kwa kiasi chake ktk ulimwengu wa sheria na haki tz! Kwa wale wanaohitaji tuwasiliane popote ulipo unakipata
Tuwasiliane 0717901233!View attachment 770307View attachment 770308
Uko vizur sana hongera zako
 
Back
Top Bottom