Napenda kutumia fursa hii kuwasalimu wana jamii wote na kuwapongeza kwa kazi nzuri mnayofanya kwa kweli ni mchango mkubwa ktk kuendeleza taifa letu. Kwa mda mrefu nilikua nikifuatilia jf kama mgeni lakini sasa ni wakati wa kujumuika pamoja nanyi. AHSANTENI MBARIKIWE SANA