Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Hata huko walikoendelea kisoka huwa inatokea kocha mkuu kuchaguliwa kocha msaidizi.Nilishasema mara nyingi humu. Kama Simba wanashindwa kumuondoa Matola angalau wampatie kitengo kingine.
Kwasasa jamaa anainfluence kubwa kwa wachezaji. Sishangai kocha atakayefuata akifeli. Bongo ndio sehemu pekee ambayo kocha mkuu unachaguliwa kocha msaidizi.
Binafsi nafurahi sana hao wazee wanavyofanya vizuri ili waaminiwe wapewe mikataba mipya ili tuendelee kujipigia hao makoloSasa timu imebakiwa na mechi 3 tu kumaliza ligi! Kuna dalili ya wachezaji wengi kuachwa!
Unategemea hao wanaopata nafasi wacheze chini ya kiwango? All in all, haisaidii chochote! Bingwa alishapatikana kitambo.
Humu JF hakuna Prof. wa JF, hakuna Dr. wa JF ila mimi nimemtunuku PhD ya JF, ndio maana namwita Dr. GENTAMYCINE.Gentamycine juzi aliandika humu baada ya Pablo kufukuzwa Simba kuwa baada ya Matola kupewa timu, basi gemu zote 5 atashinda, kweli bwana, soka wanalocheza Simba kiukweli huwezi amini kama ndio wao walioshika nafasi ya 2, mpira unapigwa mwingi sana, yaani mpira unapigwa unafurahi, wale wachezaji wa benchi akina Nyoni wanaupiga mwingi hadi unamwagika, kweli ni uwezo wa matola au mipango nje ya uwanja anaijua, nakubaliana na Gentamycine kuwa matola 'mchawi'.
Shukran, Ahsante na Ubarikiwe mno.Humu jf hakuna Prof. wa JF, hakuna Dr. wa JF ila mimi nimemtunuku PhD ya JF, ndio maana namwita Dr. GENTAMYCINE.
Ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa Tunu ( Shani ) zake nyingi alizonitunuku na kunifanya niwe Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hapa duniani.Gentamycine juzi aliandika humu baada ya Pablo kufukuzwa Simba kuwa baada ya Matola kupewa timu, basi gemu zote 5 atashinda, kweli bwana, soka wanalocheza Simba kiukweli huwezi amini kama ndio wao walioshika nafasi ya 2, mpira unapigwa mwingi sana, yaani mpira unapigwa unafurahi, wale wachezaji wa benchi akina Nyoni wanaupiga mwingi hadi unamwagika, kweli ni uwezo wa matola au mipango nje ya uwanja anaijua, nakubaliana na Gentamycine kuwa matola 'mchawi'.
you deserve it ulisema toka mwanzo na ndio kinachotokea[emoji817]Shukran, Ahsante na Ubarikiwe mno.
Siku hizi umebadilika mkuu umepunguza undava, kuna mwaka kulikuwa na mechi ya Taifa stars ukatabiri ili ishinde kwenye first eleven asikosekane Fei na Ajibu na wakiwepo mechi itaisha mbili bila na goli la kwanza atashinda Fei, watu walikushambulia sana baadae mocha alipanga kama ulivyosema na na Fei alianza kushinda na mechi ikamalizika mbili bila.Ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa Tunu ( Shani ) zake nyingi alizonitunuku na kunifanya niwe Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hapa duniani.
Cc: adriz
Naona umejifungulia uzi ili kujisifiaGentamycine juzi aliandika humu baada ya Pablo kufukuzwa Simba kuwa baada ya Matola kupewa timu, basi gemu zote 5 atashinda, kweli bwana, soka wanalocheza Simba kiukweli huwezi amini kama ndio wao walioshika nafasi ya 2, mpira unapigwa mwingi sana, yaani mpira unapigwa unafurahi, wale wachezaji wa benchi akina Nyoni wanaupiga mwingi hadi unamwagika, kweli ni uwezo wa matola au mipango nje ya uwanja anaijua, nakubaliana na Gentamycine kuwa matola 'mchawi'.
Unataka kutuambia kuwa, Mwishokambi ndiye GENTAMYCINE mwenyeweee?Naona umejifungulia uzi ili kujisifia
Inabidi waongezewe mkataba haraka sanaa hao wazee wote wamenionesha kiwango kizuri sana ktk mechi hizi chache walizocheza
Acha kujimwambafai huna lolote.Ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa Tunu ( Shani ) zake nyingi alizonitunuku na kunifanya niwe Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hapa duniani.
Cc: adriz