Nimekula mafuta ya kwenye kondom ha ha ha

Kweli hapo mzazi hana bahati. Alikutunza vizuri, akakupeleka hadi shule ukajua kusoma na kuandika hadi ukaweza jiunga na JF. Leo unamthibitishia kuwa, umekubuhu kiasi kwamba hutaki hiyo siagi ipandie huko tena unaiteremshia kwa juu kama mchuzi?? Mungu, mbona unaruhusu hiki kiumbe chako kipate taabu hivi?? Si ukiite nyumbani tuu!! Kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…