Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Wakuu leo nimebahatika kula msosi wa maana sanaaa.
Mayai mchemsho+ maharage yaliyoungwa.
Mara baada ya msosi huo nikashushia maziwa fresh kikombe cha nusu Lita hivi.
Kuna watu walionikuta napiga menyu hiyo wakawa wanasema kuwa mbona kijana unatengeneza Bomu tumboni?
Sasa sikuwaelewa kabisa nikahisi labda wananionea gere kwa kuwa nakula mayai na maharage pamoja na maziwa.
Watalaam wa afya na lishe naomba mnielimishe umuhimu wa hivyo vyakula tajwa mwilini pamoja na madhara yake.
Yawezekana ni kweli nilikuwa natengeneza Bomu tumboni ( hypothesis).
Sasa wanasayansi mkuje na utalaam wenu m- reject au m- accept the claim.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mayai mchemsho+ maharage yaliyoungwa.
Mara baada ya msosi huo nikashushia maziwa fresh kikombe cha nusu Lita hivi.
Kuna watu walionikuta napiga menyu hiyo wakawa wanasema kuwa mbona kijana unatengeneza Bomu tumboni?
Sasa sikuwaelewa kabisa nikahisi labda wananionea gere kwa kuwa nakula mayai na maharage pamoja na maziwa.
Watalaam wa afya na lishe naomba mnielimishe umuhimu wa hivyo vyakula tajwa mwilini pamoja na madhara yake.
Yawezekana ni kweli nilikuwa natengeneza Bomu tumboni ( hypothesis).
Sasa wanasayansi mkuje na utalaam wenu m- reject au m- accept the claim.
Sent using Jamii Forums mobile app