Nimekula mbususu kwa mkopo

Nimekula mbususu kwa mkopo

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Leo nimekuja Mwanza kikazi, baada ya kufika nikachukua chumba lodge x, nikaenda gereji kufanya service maana keshokutwa narudi Morogoro. Nikiwa pale gereji nikajaribu kudodosa kujua ntapataje company, fundi mmoja akanipa connection ya Telegram.😂

Nikawasiliana nayo ikanipa gharama zake na chumba ikasema ipo, basi bwana nikaenda nikapokelewa vizuri sana nikamwambia tutalala wote, akanitajia gharama nikakubali. Nikauliza chakula kinapouzwa akanielekeza, nikaenda kuleta mazaga zaga tukajichana. Baadae tukaanza kuchezeana, toto lina tacle lainiiii, halafu ni push to start.

Nikamimina cha kwanza, tukabadili ndom, tukaanza kutafuta cha pili, msuguano ukazidi ndom ikapasuka, nikamwagia ndani. Baada ya hapo nikamuuliza anatumia kinywaji gani nikamletee, akanitajia nikamwambia poa. Nikatoka nje nikawasha gari kutafuta sehemu ya kununua vinywaji, kwakifupi nimeamua kurudi lodge niliyofikia.

Maana ningelala kule angeichosha, maana si kwa miuno ile pia nimeokoa gharama, maana aliniambia kulala 200k. Sijatoa hata 100 maana nimempa mauno naamini amefurahia sana hadi akakoj....a. Halafu ajifunze kuchukua kabisa mpunga kabla ya kazi!
 
ww jamaa Ni mafia
IMG_20220320_144842.jpg
 
Back
Top Bottom