Nimekula mbususu kwa mkopo

Watu wanaongea tu hapa wanamsema jamaa ila kutoa hela kwa malaya huwa inauma nyie 🤣🤣🤣

Ijapokuwa alichofanya kibinadamu sio fair
 
Umemtapeli,heshimu kazi za watu aiseeh ndugu
Kampatie mpunga wake unataka aishi kwa bao ulilommiminia ndani?
Alaf wanajua kuchafua hao huko telegram,ngoja nidownload hapa nikaone wanavyokupa promo ya utapeli
 
Utajua hujui aisee utakachofanywa na umeacha kondom ina utelezi wako bora umpe hata nusu
 
Pole maana umeondoka na gono,kaswende na HIV .
 
2050 hii nchi itakuwa na wazee wa hovyo sana
 
Wewe sio mstaarabu

Huyu jamaa hata kwenye maisha ya kawaida sio wa kumwamini.

Unauhakika Gani kama dada wa watu alikua na pesa ya kulipia hapo mlipokutana?

Hawa ndio unamwazima pesa mnaanza kusumbuana unambembeleza na kunyenyekea wakati unadai pesa Yako.
 
Sometimes starehe ya dakika 5 isiharibu future ya miaka 5
 
Watu wanaangamia sana na kupoteza maisha mazuri kwa kukosa akili na maarifa, kapime nyoko wee.
 
hahahahahahahah nisha kula sana kwa mkopo ila nililipa
 
Na unajiona mjaanjaaa. Nyie ndio mnaojaza watoto wa mitaani shuaini zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…