John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Kuna demu mzur kwel afu alkuwa na tako zur,tulikuwa nae chuo,wenzie weng walkuwa wanasema mara kwa mara alkuwa analimwaga
Mim nilkuwa na uwezo wa kulilalia kojo ninapokojoa kufikia asubuh godoro limekauka.
Niliwah kukojoa nikiwa nimelala na mwenzangu tukiwa shule ya kutwa yaan kigheto gheto bahati nzur ilikuwa wkend nililalia kojo na nikajilaza muda mrefu mpaka yeye alipoamka ndo na mim nkaamka nkageuza godoro fasta
Kuna mwana alikuwa mkorofi sana tukiwa form five alipitiwa siku iyo mi nalala cha chini yeye cha chini kwa pembeni kilichomstiri jamaa ni msafi yaani anakawaida ya kuamka mapema kusafisha room hata kama sio zamu yake
Na anakimbia mchakamchka daily na baridi lile la milimani noma tena mwezi wa saba
Ilikuwa siku ya ramadhani kama sikosei jamaa alikojoa usiku sema aliwai fasta sasa mi nilikuwa sijalala uzuri vyumba vyetu vina milango jamaa mi nilikuwa nimepoa tu ndo nimetoka kula daku kama saa 8 kwenda saa 9 namuona jamaa anapangusa uku anasunyaa mara πππmara asikitike namchora kuna kamwanga kwa mbali japo taa imezimwa akarudi akachek kama mlango umefungwa vizuri anabadili mashuka sema anakaa kona kweny matrunkers
Akazikusanya zote akatembea nazo bafuni na alikuwa mbabe hataki kitanda chake akae mtu kaweka tangazo kabisa mda tu
Alivyomaliza kule room mara amke azunguke mpaka kumi na 11 nilipitiwa kidogo hakwenda mchakamchake akawa anamopping floor natamani kucheka nikakausha watu washazoea utaratibu wake tunamuita bwana afya ni prefect wa afya
Ikapita ila jamaa sijui hana aibu kuna siku watu wamechanganya stori akasema nilikojoa siku moja hhumu ndaniπ€£π€£π€£na wengine wanatoa ushuhuda mara ivi mara vile ikapita kuna siku alikija nambia o level kakojoa sana mpaka anafahamika ila ilikuwa acha kabisa kule boarding hhaamini dawa za mitishamba wala uchawi ikaacha kweli
Sijui hili tatizo linatokana na nini.
Limenitesa mnoo. Mpaka miaka 15.
Dah! Hii kitu unaweza tamani ardhi ipasuke ujifiche humoπ€£π€£
Watu tumekojoa sana boarding kuanzia form one,two mpaka three! Uzuri nilikuja kugundua kumbe sipo peke yangu, Kuna jirani yangu naye alitia fora! Tena bora mimi ilikuwa mara moja moja ili huyu jirani ilikuwa karibu kila siku!.Ukikojoa usiku unaamka chap chap unabadilisha nguo unatoa shuka unapanga nguo kavu mbili tatu kwenye eneo la godoro lililoloa kisha unatandika shuka lingine kwa juu ili nalo lisiloe! Chap unatafuta ndoo kisha unaloeka alafu unarudi kulala.Ukijijua una tatizo hilo usije ukalala kitanda cha juu! Utazua balaa!
Haya Taikon, pole sanaa ila umefurahisha Jumapili hii.
Nafwatilia izo emoji kwa makini
Asee nikikumbuka naumia[emoji10]simu yangu mpya ilikufa kwaajili ya mkojo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua simu iliharibika ilinyonya mkojo
Betti lilitengeneza.kutu....usiku mmoja huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikafanya siri[emoji16]AIBU
Kipindi hicho ulikuwa mchanga wewe au hujazaliwa kabisa