Nimekumbuka wimbo wa Chidi Benz uitwao 'Mmenisoma?'

Ile freestyle ya matusi mazito mazito hujaikumbuka? Uhai, mafanikio na afya huwa vinatupumbaza sana waja tunasahau kavitoa nani!
Ipi hiyo mkuu? Naomba share nasi hapa kama unayo [emoji120]
 
Kuna verse moja alisema '' Namanisha tendo sio lazma basi japo hakupige hataa busu''

GooD poinT!!
 
Ni rahisi kuona tu kwa wenzio lakini inasikitisha sana..Siku moja nilimuhagi binamu yangu Karume akiwa anapiga debe nikampa na pesanikiwa ndani ya hijab watu walinishangaa sana,lakini hivi ndio nilivyokua nikifanya akiwa mzima nae akiniona anaanzisha kunikumbatia..Hili swala linaniumizaga sana.
 
Kitu kimoja najua. Ipo siku radio zote, zitapiga ngoma zote za Chidy masaa yote.
 
unga mtamu jamani. mwacheni child ale ujana
 


mzaramo sikiliza "Homa ya Dunia" kutoka kwa Solo Thang na "A.K.A. Mimi" ya Albert Mangwea (RIP) kisha uje kubadili kauli zako hapa.
 
uswahilini Matola..kosa la marehemu hakuvaa condom...ndio Kali zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…