Nimekumbwa na sintofahamu baada ya kondomu kupasuka

Nimekumbwa na sintofahamu baada ya kondomu kupasuka

Mjukuu wa taifa

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2023
Posts
489
Reaction score
458
Habari zenu ndugu zangu!...

Nilijamiana na mwanamke kwa bahati mbaya condom ilipasuka pindi nafikia mshindo. Nilichokifanya nilisitisha kuendelea na tendo kisha nikajifuta kwa kitambaa laini kabla ya kuosha uume wangu.

Wasiwasi wangu ni je Kama atakua na maambukizi yanaweza nifika japo sikua na mchubuko wowote Wala kuhisi Maumivu yoyote Yale?

Mwenye uelewa naomba anijuze?
 
Habari zenu ndugu zangu!...

Nilijamiana na mwanamke kwa bahati mbaya condom ilipasuka pindi nafikia mshindo. Nilichokifanya nilisitisha kuendelea na tendo kisha nikajifuta kwa kitambaa laini kabla ya kuosha uume wangu.

Wasiwasi wangu ni je Kama atakua na maambukizi yanaweza nifika japo sikua na mchubuko wowote Wala kuhisi Maumivu yoyote Yale?

Mwenye uelewa naomba anijuze?
Ungewahi hospital ukatumie zile pep kuliko kujiua na pressure
 
Habari zenu ndugu zangu!...

Nilijamiana na mwanamke kwa bahati mbaya condom ilipasuka pindi nafikia mshindo. Nilichokifanya nilisitisha kuendelea na tendo kisha nikajifuta kwa kitambaa laini kabla ya kuosha uume wangu.

Wasiwasi wangu ni je Kama atakua na maambukizi yanaweza nifika japo sikua na mchubuko wowote Wala kuhisi Maumivu yoyote Yale?

Mwenye uelewa naomba anijuze?
Pole sana .
Uko wapi weye ? Hatuwezi sema umeupata au haujaupata ila kwa hapo nakishauri kutumia PEP kwa usalama wa afya yako .

Je ulipozinapatikana ? Ikiwa hapana sema usaidiwe ila usisahau mkono mtupu haulambwi .

Pole sana , baharia
 
Subiri miezi mitatu mambo yajipe.


Wahi hospitalini fasta upate dawa za kinga (PEP) mbwiga wewe. Kama zimeshapita saa 24 imekula kwako
 
Wahi hospital Mzee, hata kama yupo +ve kuna possibilities za wewe kutopata.

Nenda hospitali lakini inatakiwa ndani ya masaa 72.
 
Probability ya kupata HIV kwa kufanya tendo na mtu aliyeathirika na pasipo kutumia kinga ni 1/500 kwa nchi zetu za 3rd world countries, na 1/1000 kwa wenzetu. Ndani ya round 500 za kuvunja amri ya 6 uwezekano ni moja.

Pia HIV ni rahisi kwenda kwa mwanamke kuliko kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume.

Acha ngono nzembe, HIV ipo na inasababisha UKIMWI na UKIMWI unaua.
 
Waskutishe mkuu, we endelea kupiga pipe laivu utakuja kunishkuru wakati unakam..😜
 
Kwanza asavali wewe hata umepata pakukojolea...😋
 
Habari zenu ndugu zangu!...

Nilijamiana na mwanamke kwa bahati mbaya condom ilipasuka pindi nafikia mshindo. Nilichokifanya nilisitisha kuendelea na tendo kisha nikajifuta kwa kitambaa laini kabla ya kuosha uume wangu.

Wasiwasi wangu ni je Kama atakua na maambukizi yanaweza nifika japo sikua na mchubuko wowote Wala kuhisi Maumivu yoyote Yale?

Mwenye uelewa naomba anijuze?
kama hazijapita siku 3 nenda fasta hospitali ya serekali waweke wazi utapewa dawa ya kujihami kwa ngoma.

kama zimeshapita izo siku 3 usijikune, utapima uko mbeleni kujua km ushaungwa kwenye ule mpango au la

siku ingine vaa kondom ngum kama haumwelewi unaeto.mbana nae
 
Back
Top Bottom