Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Tena wahudumu wako very friendly. Ukisahau kwenda kuchukuq unapigiwa na simu kabisa 😂😂😂ARV serikali uzuri wake wanatoaga buree n ww tu mkuu kuchagua kituo Cha kwenda kuchukuliaa ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwishaaaa..Tena wahudumu wako very friendly. Ukisahau kwenda kuchukuq unapigiwa na simu kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ungewahi hospital ukatumie zile pep kuliko kujiua na pressureHabari zenu ndugu zangu!...
Nilijamiana na mwanamke kwa bahati mbaya condom ilipasuka pindi nafikia mshindo. Nilichokifanya nilisitisha kuendelea na tendo kisha nikajifuta kwa kitambaa laini kabla ya kuosha uume wangu.
Wasiwasi wangu ni je Kama atakua na maambukizi yanaweza nifika japo sikua na mchubuko wowote Wala kuhisi Maumivu yoyote Yale?
Mwenye uelewa naomba anijuze?
Pole sana .Habari zenu ndugu zangu!...
Nilijamiana na mwanamke kwa bahati mbaya condom ilipasuka pindi nafikia mshindo. Nilichokifanya nilisitisha kuendelea na tendo kisha nikajifuta kwa kitambaa laini kabla ya kuosha uume wangu.
Wasiwasi wangu ni je Kama atakua na maambukizi yanaweza nifika japo sikua na mchubuko wowote Wala kuhisi Maumivu yoyote Yale?
Mwenye uelewa naomba anijuze?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwishaaaa..
AaahaaaTunauza majeneza tuko Manzese karibu na kituo cha mwendokasi.
Sio siku tatu ?Subiri miezi mitatu mambo yajipe.
Wahi hospitalini fasta upate dawa za kinga (PEP) mbwiga wewe. Kama zimeshapita saa 24 imekula kwako
kama hazijapita siku 3 nenda fasta hospitali ya serekali waweke wazi utapewa dawa ya kujihami kwa ngoma.Habari zenu ndugu zangu!...
Nilijamiana na mwanamke kwa bahati mbaya condom ilipasuka pindi nafikia mshindo. Nilichokifanya nilisitisha kuendelea na tendo kisha nikajifuta kwa kitambaa laini kabla ya kuosha uume wangu.
Wasiwasi wangu ni je Kama atakua na maambukizi yanaweza nifika japo sikua na mchubuko wowote Wala kuhisi Maumivu yoyote Yale?
Mwenye uelewa naomba anijuze?