Nimekumiss sana brother Mohamed Mtoi

Nimekumiss sana brother Mohamed Mtoi

Mr Hero

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
5,540
Reaction score
7,455
Ukweli kuna wakati unafikia hapa duniani inakuwa kama hujawahi kuwepo, kila binadamu ni historia baada ya kuondoka kwake, Leo nimemkumbuka sana ndugu yangu member mwenzetu wa siku nyingi hapa JF Marehemu Mohamed Mtoi, ambae alifariki kwa ajali Akitokea kwenye kampeni,
Alikuwa msomi wa aina yake, nilikuwa nampenda sana kwa busara zake na majibu yake hapa jukwaani,
Upumzike kwa amani brother
IMG_20180804_154646_416.JPG
 
..kifo cha Mohamed Mtoi kilinishtua.

..alikuwa kati ya vijana nyota wanaochipukia cdm.

..R.I.P Mohamed Mtoi.
 
Back
Top Bottom