Nimekunywa dawa za malaria nimeamka na kiu cha castle bariid nimeshindwa kujizuia!!

Teh nimecheka sanaaa best umenikumbusha longtime ago...Tii kiu yako best achana na wanao kuombea kifo kwani na wao hawata paa kama yesu
 
Teh nimecheka sanaaa best umenikumbusha longtime ago...Tii kiu yako best achana na wanao kuombea kifo kwani na wao hawata paa kama yesu
Kamata caatle bariid mkuu
 
Mkuu chukua na bodaboda kabisa tena uongezee nyingine kama utapungukiw nakurushia hata mpesa, Af huwa inauwag plusmodium naskiag ukitumia sema kuanzia nane iv
 
Mkuu chukua na bodaboda kabisa tena uongezee nyingine kama utapungukiw nakurushia hata mpesa, Af huwa inauwag plusmodium naskiag ukitumia sema kuanzia nane iv
mkuu ushauri wako ni mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…