Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Chai ni tamu ikiwa ya moto, ikipoa sasa umeme na gesi vyote vikawa vimeisha ndio utajua hujui.
Haya sasa, kwa mnaonifahamu ingawa mimi sio mwamba.
Msaidieni mwenzenu apashe kiporo au?
Haya sasa, kwa mnaonifahamu ingawa mimi sio mwamba.
Msaidieni mwenzenu apashe kiporo au?