Nimekuta SMS ya I miss you kwenye simu ya mpenzi wangu, nifanyaje?

Nimekuta SMS ya I miss you kwenye simu ya mpenzi wangu, nifanyaje?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Chai ni tamu ikiwa ya moto, ikipoa sasa umeme na gesi vyote vikawa vimeisha ndio utajua hujui.

Haya sasa, kwa mnaonifahamu ingawa mimi sio mwamba.

Msaidieni mwenzenu apashe kiporo au?

Screenshot_20230713-105622~2.png
 
Kwahiyo hata kama ni Dada'ke au ndugu yake yeyote kumtumia SMS kwamba amemumis ni kosa jamani..!!!


Acha wivu wa kishamba! Utakufa mapema Kwa presha ya kichina wewe!
 
Back
Top Bottom