Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Mwambie i miss you tooChai ni tamu ikiwa ya moto, ikipoa sasa umeme na gesi vyote vikawa vimeisha ndio utajua hujui.
Haya sasa, kwa mnaonifahamu ingawa mimi sio mwamba.
Msaidieni mwenzenu apashe kiporo au?
View attachment 2686531
Swali hujajibuKwa hyo mpenzi wako asimlipie mpenzi wake Kodi?hapo I miss you ni gear tu ya kumjaza akalipie huduma fln huko
Swali hujajibuMwambie i miss you too
Muache
Piga chini mkuu mbususu zipo nyingi sana .
Swali hujajibuMhusika ni ke au me? 🤔
Swali hujajibuKwahiyo hata kama ni Dada'ke au ndugu yake yeyote kumtumia SMS kwamba amemumis ni kosa jamani..!!!
Acha wivu wa kishamba! Utakufa mapema Kwa presha ya kichina wewe!
Upo mami??Babe hi Id niwewe kwel
Nunua mguu wa kuku unauzwa 1.7milions,Kisha m shoot
Please hold my beer.!
Amua cha kufanya..
Swali hujajibuKawaida ni ma x hao
nimejaa tele,aliyekuficha alaaniweUpo mami??
Nilikuwa na pod cast yangu hukoooo, nimechoka Kuongea sasa nabandika tena stori Kwa blognimejaa tele,aliyekuficha alaaniwe