Nimekutana na hii ufanano wa Rais Samia na Makamu wa Rais Kamala

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kuna ka mfanano kati ya Kamala Harris na Samia suluhu
1. Wote ni wanawake ambao wamekuwa Makamu wa Rais wa nchi zao kwa Mara ya kwanza
2. Wote wamerithi kugombea kiti cha Urais kutokana na wenza wao ama kufa au kukosa nguvu za kuendelea na uongozi
3. Wote wanategemea Propaganda sana katika kuendesha shughuli zao! Media Ina cover hadi uongo
4. Wapinzani wao wakubwa wamekoswa koswa kuuwawa na Risasi, yaan Trump kakoswa koswa na Lissu kakoswa koswa
5. Wote wana uhusiano na bara la Asia mmoja ni wa Oman na mwingine ni wa India ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ณ
6. Kila mmoja atashindwa Urais au ameshindwa Urais na Mpinzani wake (mmoja kashindwa Jana)
Hii ya sita nadhani unaweza malizia Ufanano wao ๐Ÿ™Œ๐Ÿผโœ๐Ÿป
 
Hii Tanzania abroad nasikia admin wake ni Lema chini ya ufadhili wa Kigogo mzito wa Ccm chini ya uangalizi wa vijana wa miaka ya seventee's na wameshatupiwa virago kasoro mmoja Mtoto wa Mzito Sana.
Mi naiombea Heri Nchi yangu kwa faida ya vizazi vyetu.
 
We kwl huna akili, Samia ni Rais siyo anagombea. Atagombea awamu ya pili 2025 na atashinda kwa kishindo. Hakuna mfanano kisiasa labda jinsi tu. Tumia akili badala ya makalio
Kama aligombea personally ,mgombea mwenza wake alikuwa nani??
Mwakani CCM wakifanya KOSA la kupitisha jina lake, ndiyo atagombea kwa mara ya kwanza, Urais wake ni WA URITHI wa kikatiba baada ya kifo Cha Kambale.

Ni hivyo but mwambie aanze MAMAKO kufungasha virago kurudi Kizimkazi.

Imebaki miezi kumi.

Tanzania 2025 Rais ni Mwanaume!!!!

Hata Zanzibar watampigia kura Rais Mwanaume!!!
 
"Wote wamerithi kugombea kiti cha Urais kutokana na wenza wao ama kufa au kukosa nguvu za kuendelea na uongozi"! Tueleze mwaka ambao Samia aligombea urais.
 
Lisu alipigwa risasi na jpm usituongopee. Samia hajawahi kumpiga risasi mtu
 
We kwl huna akili, Samia ni Rais siyo anagombea. Atagombea awamu ya pili 2025 na atashinda kwa kishindo. Hakuna mfanano kisiasa labda jinsi tu. Tumia akili badala ya makalio

Wewe ndio huna akili. Lini Samiah akigombea urais?
 
Punguani ndiye anawaza hivi..!
 
Kuna ka mfanano kati ya Kamala Harris na Samia suluhu
6. Kila mmoja atashindwa Urais au ameshindwa Urais na Mpinzani wake (mmoja kashindwa Jana)
Hii ya sita nadhani unaweza malizia Ufanano wao ๐Ÿ™Œ๐Ÿผโœ๐Ÿป
Duh...!, ma Marekani ni majinga kutomchagua mtu kwasababu ni mwanamke. Sisi Watanzania 2025 tutaonyesha tuna akili zaidi yao, kwa kumchagua rais mwanamke!. Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?
P
 
Wote wanategemea kuungwa mkono na wasanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ