nimekutana na jini, muda huu

Ningekuwa mimi ningemlenga na kumgonga na gari wewe woga wako tu ndiyo unakuchanganya na hata hapo hutalala itakuwa ni mauzauza ya uoga wako ukione ni shida zaidi sali hivi: NAWEKA MPAKA NA ADUI ZANGU KWA DAMU YA YESU SITASHUHUDIA MABAYA KWA JINA LA YESU NA HIYO NYUMBA UIFUNIKE KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU HUYO JINI WAKO HATAKUGUSA NG'OOOOOOOO NA ULALE KWA AMANI
 
we stori zako ni za kukutana na majini tu,mara kariakoo,sasa hv mikumi,kwa hyo hayo majini yakutokeege wewe tu?,kesho sijui yatakutokea msamvu,we kweli unagongwa
 
Kwa hiyo ndo ulikuwa unasafiri kwa kutumia ile pikipiki yako?
 
Ha haha , " alikua na simu , smartphone galaxy" uli weza kuigundua hadi aina ya simu? Wewe mkali?
 
unawadhalilisha watu wa mikumi! kama akili zako ndivyo zilivyo, basi mbunge wa mikumi mh. joseph haule prof. jay, kazi anayo!
 
halafu huyu aliwahi kuokota cheni ya kijini posta itakuwa ana bahati na majini
 
ha ha ha jamaaa katisha ..et ana kichwa cha binadam..jicho moja ..miguu ya simba ... na galaxy...
vp et hakuwa amevaa miwan ?? sasa nashangaa kwa nn hukupata muda wa kukapa fotooo
 
Ndo madhara ya kutembea kwa miguu usiku hayo... kesho usirudie pumbafu
 
Kwakuwa hili ni jukwaa la joke/utani na vichekesho sina shida na ww, all is well
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…