Nimekutana na Lara1 leo

Daudi Mchambuzi
Ni kweli mkuu hapa wizarani kwetu kuna secretary akili zake sio lazima kuja nazo ofisini, leo boss kamsifia kuwa ana kiuno cha ukweli kamwambia boss weka dau mezani nikakusahaulishe ya mkeo,Boss akauliza ngapi? Dada kamjibu wekundu wa5! Boss kamjibu: tangulia nikukute hotel!
 
Last edited by a moderator:
Ai nimeshtuka sana nikadhani amekutana na Lara1 kimwili kwani ni vigumu sana kwa mwanaume kutangaza hicho
 
Khaa!! Yuko cheap sana sawa na wale wa barabarani 😀
 
slim5
Hahaa natamani nijue ofisi yenu.
 
Last edited by a moderator:

unafanya kazi ofisi moja na machangudoa
 
unafanya kazi ofisi moja na machangudoa

Inawezekana! Na yule boss nae?
Wapo karibu kila sehemu, bongo movie, bongo flavor, mtaani, maofisini, ktk ndoa, barabarani, bar n.k
 
lara
Aaaaiii!!!! wish nikuone ukiifikisha nusu tu, najua jicho linakua sio lako tena.
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh! akanana, lara 1 ina maana umeolewa bila kunipa kadi hata ya mualiko au ya mchango?
 
Sidhani kama ni yeye, kwa jinsi anavyoandikaga mada zake, nafikiri kwenye gari angekuwa hatulii anarukaruka kwenye siti mpaka basi. ila hiyo mizinga ya konyagi mhhhh!
 
Mi najiuliza sana, hivi huyu lara 1 ni mwanamke wa aina gani kati ya wote,mpaka aonekane ni noma kiasi hicho.Eti dada yangu kama si mama yangu wewe ni wa aina gani.
 
pendael
Shangingi tu la mjini, sina hata cha zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh Jamii forums kuna vitukosa daa nimecheka sana. Kijana leo
 
Last edited by a moderator:
lara 1

Aya bwana ila jihadhari usije nasika kwenye katundu kabovu ka wasemavyo waswahili.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…